[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kujiuza starehe wajiunge na sisi waenjoy kujiuzaUnajiuzaa? ebu acha kujipendekeza kwa wanaume na kujiuza mtoto anakutegemea
Tayari shem.Eeh shem kumbe na wewe tayar umeshakabidhi moyo wako kwa mtu?
Hahah!! Basi tufanye kama hakijatokea kitu...Jamaniiii nikikwambia we kiben10 unanuna angekuwa muhenga mwenzangu asingeniuliza hilo swali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mijitu inafungua ids mpya kila siku kuquote wenzao ujinga ujinga kama anaona wivu si ajiuze na yeye au aje na id yake iliyozoeleka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kujiuza starehe wajiunge na sisi waenjoy kujiuza
Jamani babe kwahiyo na undugu na Chaplin au Mr bean [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwahiyo babe ulikuwa wapi nje na watu tena ebu endelea kukaa nao tu acha nilog outHahah!! Basi tufanye kama hakijatokea kitu...
Ila umeshakuja hivyo ngoja nikajifungie tu ndani maana nikikaa na watu wananiona namna gani vp? kila muda nacheka cheka tu na simu
Hongera shemu ila vp kuhusu [emoji116] [emoji116] hizi tuhuma?Tayari shem.
[emoji23][emoji23] shemu yupo vizuriHuyo shem wako kakabidhi kwa watu wengi yaan
Shem wako yuko vizuri sanaaa halafu mababy zake hawana wivu kabisa sema kuna mmoja tu ndio ana wivu shem wangu wa janaHongera shemu ila vp kuhusu [emoji116] [emoji116] hizi tuhuma?
[emoji23][emoji23] shemu yupo vizuri
Yani mods wana kazi sana kipindi hiki kudeal na hawa matahira wasojiamini kufungua account mpya kila siku kukera wenzao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mijitu inafungua ids mpya kila siku kuquote wenzao ujinga ujinga kama anaona wivu si ajiuze na yeye au aje na id yake iliyozoeleka
Usimsikilize huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera shemu ila vp kuhusu [emoji116] [emoji116] hizi tuhuma?
[emoji23][emoji23] shemu yupo vizuri
Kunatofauti kati ya funny na happy sasa wewe unanimake happy muda wote..Jamani babe kwahiyo na undugu na Chaplin au Mr bean [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwahiyo babe ulikuwa wapi nje na watu tena ebu endelea kukaa nao tu acha nilog out
Mods wangeziunganisha tu mijitu iumbuke yaan jf sasa hivi kama insta huko sababu ya mijitu michacheYani mods wana kazi sana kipindi hiki kudeal na hawa matahira wasojiamini kufungua account mpya kila siku kukera wenzao
Wakunyumba ebu niambie nimeongopa wapiiiUsimsikilize huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una utani na mimi?Unajiuzaa? ebu acha kujipendekeza kwa wanaume na kujiuza mtoto anakutegemea
That's my babe [emoji8][emoji8][emoji8] nakupenda jamani kiben10 changu yaani umezaliwa kwa ajili yangu tu napenda unavyojiamini jamani kama jitu nene kumbe kimbau mbauKunatofauti kati ya funny na happy sasa wewe unanimake happy muda wote..
Ulogout uende wapi wewe embu rudi hapa, hawa achananao tu
Utani upiii tena jamani kwani we mchaga au mpare mana hao ndio watani wa wasambaaUna utani na mimi?
Unanichafua kwa shemeji yanguWakunyumba ebu niambie nimeongopa wapiii
Hapana wakunyumba sikuchafui nataka shemeji yako ajiandae kisaikolojia siku akikuta sehemu nyingine unaitwa na baby mwingine si atakushangaaUnanichafua kwa shemeji yangu
Aaahh hahah hahah!! Shunie bhn eti kimbau mbau [emoji119] [emoji119]That's my babe [emoji8][emoji8][emoji8] nakupenda jamani kiben10 changu yaani umezaliwa kwa ajili yangu tu napenda unavyojiamini jamani kama jitu nene kumbe kimbau mbau