Sijamuoa Ile official, ndugu baadhi wanahisi tu kile kinachoendelea, wengine wanajua lakini hawaamini coz ndugu wengi tupo mbali naoDah!
Umetisha mkuu,
Vipi mpk mnazaa watoto wawili ulimuoa au vipi?
Familia yako na ukoo walilipokeaje? Au ilikua Ni siri[emoji848]
Vipi khs baba yako? Anayo taarifa?Sijamuoa Ile official, ndugu baadhi wanahisi tu kile kinachoendelea, wengine wanajua lakini hawaamini coz ndugu wengi tupo mbali nao
[emoji3][emoji28]UTANDAWAZI.
Mkuu mkigombana usimnase makofi utapata laana khali.
maana hapo unalaana tayari.
Mzee wa kujibebisha, Mhepuko wako anasemaje?πππππππDah!
Umetisha mkuu,
Vipi mpk mnazaa watoto wawili ulimuoa au vipi?
Familia yako na ukoo walilipokeaje? Au ilikua Ni siri[emoji848]
Itakuwa hauhusiani na ukoo wa unayemuita baba yako.Sijamuoa Ile official, ndugu baadhi wanahisi tu kile kinachoendelea, wengine wanajua lakini hawaamini coz ndugu wengi tupo mbali nao