Mungu atanisamehe, hata wewe usingevumilia, ni mzuri sana

Chai na maharage yake yakisaidiwa na maandaazi matano hapa supu siion,nahisi hata hiyo chai yenyewe ulikopa
Nonsense! Rabbit! Idiot! Mmoja
 
Una laana wewe sio bure tena si tu wewe ata ukoo wenu pia
 
Kwa hiyo watoto wako wanamuita baba yako BABU, na wakati huohuo, huyo shangazi yako watoto wake (ambao ndiyo watoto wako) wanamuita baba yako MJOMBA..!!! na hivyo kupelekea wamwite mama yako SHANGAZI..!! Na wakiwa na akili kama yako wazae na shangazi yao (Mama yako) kama ulivyofanya wewe, halafu shangazi yao huyo, (ambaye ni mama yako) azae watoto ambao watakuwa ni wadogo zako.!! na huku wakitakiwa wakuite babu...!!

WE MUNGU HAKUSAMEHI
 
Chai na maharage yake yakisaidiwa na maandaazi matano hapa supu siion,nahisi hata hiyo chai yenyewe ulikopa
Nonsense! Rabbit! Idiot! Mmoja
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shetani mwenyewe anahitaji kujiboresha aje na dhambi zingine mpya maana alizonazo wanadamu tayari wamemkalisha.

Inabidi aje kivingine asipofanya hivo atajikuta yuko nyuma ya mda sisi waleeee
 
Shetani mwenyewe anahitaji kujiboresha aje na dhambi zingine mpya maana alizonazo wanadamu tayari wamemkalisha.

Inabidi aje kivingine asipofanya hivo atajikuta yuko nyuma ya mda sisi waleeee
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…