muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,539
- 3,551
Siyo kaka mkuu, anamuota shemeji [emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo baba yako unamuita kaka??? Asee ongeza mabumunda mkuu.
Ila ni shemeji yako,, umemchukulia dada yake.Baba atabaki katika nafasi yake
Tusogezee muda tu kama chai halisi inaivaHii ni chai isiyokua na sukari wala maandaz kabisa
Kwa hiyo watoto wako wanamuita baba yako BABU, na wakati huohuo, huyo shangazi yako watoto wake (ambao ndiyo watoto wako) wanamuita baba yako MJOMBA..!!! na hivyo kupelekea wamwite mama yako SHANGAZI..!! Na wakiwa na akili kama yako wazae na shangazi yao (Mama yako) kama ulivyofanya wewe, halafu shangazi yao huyo, (ambaye ni mama yako) azae watoto ambao watakuwa ni wadogo zako.!! na huku wakitakiwa wakuite babu...!!Nilipokuwa na miaka 19 nilikuwa natamani sana urafiki wa kimapenzi na shangazi yangu (Dada wa Baba). Shangazi yangu ni mwanamke mzuri sana. yaani saana
Alikuwa na miaka 36 wakati huo. ndugu zangu hii si tovuti ya hadithi za ngono kwa hivyo sitaweza kusimulia hadithi nzima hapa. Lakini kwa kifupi nilifanikiwa kumtongoza baada ya kujaribu mara kwa mara na tulikuwa na wakati mzuri sana katika maisha yetu!
Hivi Sasa tuna watoto 2 (wasichana) na kila kitu kiko sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Chai na maharage yake yakisaidiwa na maandaazi matano hapa supu siion,nahisi hata hiyo chai yenyewe ulikopa
Nonsense! Rabbit! Idiot! Mmoja
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Shetani mwenyewe anahitaji kujiboresha aje na dhambi zingine mpya maana alizonazo wanadamu tayari wamemkalisha.
Inabidi aje kivingine asipofanya hivo atajikuta yuko nyuma ya mda sisi waleeee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siyo kaka mkuu, anamuota shemeji [emoji23][emoji23][emoji23]