Hamza Nsiha
JF-Expert Member
- Jul 25, 2022
- 221
- 197
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli mkuu, ni Mungu pekee tu maana ukifikiria mazingira haya kuna kila aina ya microbes kuna minyoo kuna bacteria n.k lakini Mungu pekeeMaisha haya,
Ukipita bagamoyo road, kama unatoka mjini, Dar eneo LA skansika, au jkt, kuna wa mama wanaponda kokoto, huwa najiuliza kitu gani niwafsnyie hiyo kazi Yao iwe rahisi kidogo, niwanunulie gloves na miwani!
Miaka kadhaa niliwahi kusoma mahari, mtu aliandika, "ma injinia wa bongo, mpaka Leo hawajaweza kutengeneza mashine ndogo ya kuponda kokoto,ili kuwasaidia wajasiriamali wadogo kama hawa"
Daah! This is vayolensii😁Una camera nzuri inatoa picha vizuri.
Daah! This is vayolensii[emoji16]
Anyway! Thanks alot uko good lakin?No, I really mean it.
Anyway! Thanks alot uko good lakin?
Google Pixel 4a 5GI am good. Unatumia simu gani?
Google Pixel 4a 5G
Oh! Kwan unatumia simu gani HannahOkay. Hiyo picha nimejaribu kuizoom out nikaona kila kitu clear ndio maana nimeipenda. Picha nyingine ukiizoom sana huwezi ona kila kitu kikiwa clear.
Oh! Kwan unatumia simu gani Hannah
Nilitaka nkufuate inside the normal text ila nmeghairi kusikia iOS Pro_Max😁😁😁iPhone 13pro max