Mungu hakuwa na mpango wa kuumba mwanamke?

Mungu hakuwa na mpango wa kuumba mwanamke?

Status
Not open for further replies.

Amoeba

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2009
Posts
3,288
Reaction score
791
Kuna mtu anaweza akabishana na mimi kuwa mungu hakuwa na mpango wwa kuumba mwanamke! hayo ni maoni yangu, na biblia iko upande wangu. kuna mtu yeyote anaweza kubisha kwa kutumia biblia au the holly quran?
 
Yaani wewe unatafuta MABISHANO baada ya kuelimishana. Ajabu sana! Haya bwana wasubiri wabishi.
 
Yaani wewe unatafuta MABISHANO baada ya kuelimishana. Ajabu sana! Haya bwana wasubiri wabishi.
inawezekana hiyo biblia uneikota manzese. lkn pia inawezekana unampango wa kumkana mzee wako wa kike kama ndie aliekuzaa
 
Kuna mtu anaweza akabishana na mimi kuwa mungu hakuwa na mpango wwa kuumba mwanamke! hayo ni maoni yangu, na biblia iko upande wangu. kuna mtu yeyote anaweza kubisha kwa kutumia biblia au the holly quran?

Kwanini unasema/unaamini Mungu hakuwa na mpango wa kuumba mwanamke? Ni wapi alieleza mpango wake wa kuumba mwanaume pekee?

Tuelimishane bila kubishana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom