Mungu ibariki Africa na watu wake!

Mungu ibariki Africa na watu wake!

Pape

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2008
Posts
5,487
Reaction score
83
i1303_1364511415663919431610953958303463158046782n.jpg


i1304_1364511415663119411610953958303463146647154n.jpg


i1305_1364511415554316691610953958303462941371956n.jpg


i1306_1665211369215558251610953958303381195830736n.jpg
 
Hizi picha ni kweli ziko valid, lakini ni za zamani sana.

Sina carbon-14, but i can estimate kwenye miaka ya 1950s...

Ni mtizamo tu!
 
Hizi picha ni kweli ziko valid, lakini ni za zamani sana.

Sina carbon-14, but i can estimate kwenye miaka ya 1950s...

Ni mtizamo tu!
It will always be called Africa...
 
mhMH inasikitisha saaana wakuu bianadamu hujafa haujaumbika

ongeza picha zingine
 
Inasikitisha sana kwani kwa maoni yangu ni kuwa duniani Waafrika pamoja na Waesia ni jamii ya kistaarabu na Utu lakini tamaa za mali na hasa kukumbatiwa na mataifa makubwa yenye kutaka raslimali zetu kwa bei ya chee zimetengeneza madikteta na ushenzi wa hali ya juu. Halafu hao hao wenyekunufaika na ushenzi huu wanatucheka.
 
Halafu gavana wa BOT aliyekulia uji wa ulezi anakubali zitumike shilingi bilioni moja kumtengenezea nyumba ya kulala wakati wajomba na shangazi zake huko Malinyi/mahenge/ifakara wanashindia kipande cha muhogo!!
 
Halafu gavana wa BOT aliyekulia uji wa ulezi anakubali zitumike shilingi bilioni moja kumtengenezea nyumba ya kulala wakati wajomba na shangazi zake huko Malinyi/mahenge/ifakara wanashindia kipande cha muhogo!!
hilo nalo neno...
 
Back
Top Bottom