Mungu jaalia Kenya pawe na amani

Nianze na Lowassa kwenye nini, sijawahi kimshabikia; simshabikii na wala sintokaa nimshabikie. Nakuambia hayo unayojifanya yanakusikitisha huko Kenya hata hapa ni suala la muda tu.

Alimwaga mapesa ktk kampenni[emoji3]
Je angejilipaje??
Ndio maana magu haishi kusema sikuchaguliwa na matajiri mafisadi wala kwa hela ya mtu[emoji3]
Nilichaguliwa na wananchi wanyonge na hapa nawafanyia kazi wanyonge
Mkuu naisapoti hoja yako kwa %100[emoji817][emoji817][emoji1317]
 
Sawa, wakati wakenya wakifanyiana hayo wewe endelea kukomaa na jpm wako ili viroba vya maiti vipatikane kwa wingi ufukweni, upotevu wa watu uendelee

Viroba tu unajifanya kimbelembele je vita !!!!
Na uhakika wewe ukiuskia tu mlio wa risasi unadedi
Mlio tu[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…