Mungu Mwenyezi mtetezi aliye hai akatetee haki za watoto hawa wanaofanyiwa ukatili

Mungu Mwenyezi mtetezi aliye hai akatetee haki za watoto hawa wanaofanyiwa ukatili

Taitu2024

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2024
Posts
244
Reaction score
295
Mungu mwenye nguvu zote unaeona yote ukatende jambo juu ya ukatili huu watoto wanauwawa na kunyofolewa viungo lakini vyombo vya usalama vinashindwa kubaini watuhumiwa isipokuwa tu Kwa mtoto asimwe ambae Raisi Samia alitoa amri wasakwe ndo tukaona nguvu ya polisi.

Tunaomba na hawa wengine mauaji yanayoendea pia raisi atoe matamko haki itendeke...damu zilizomwagika zipige kelele daima kwenye nafsi za wahusika wasipate amani daima Hadi kiama
 
Back
Top Bottom