Mkuu sidhani kama unamsemea Athumani kashingoo ..mzee mmoja aliyekuwa maarufu sana Arusha ..kwa wanaofahamu msikiti wa ngarenaro yeye ndo alitoa eneo na alishiriki kwa asilimia kubwa katika ujenzi...
Alikuwa mtu mwenye wake wasio na idadi na wote aliwatengenezea miji/boma kubwa..Watoto wasiohesabika mpaka Leo kwa sababu ya miji aliyokuwa nao..
Alikuwa mbaguzi kwenye kusaidia watu...aliangalia faida anayoipata baada ya kutoa msaada....hatoi msaada usio na faida kwake....
Baadaye sana wahenga wakifanikiwa wanasema MUNGU SI ATHUMANI
Sent using
Jamii Forums mobile app