Mungu Wa Majeshi

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
15,267
Reaction score
29,917
Ushawahi kukosana na jamaa lenye nguvu, linataka kukupiga,

tena lina hasira hadi lina tetemeka, na wewe pia kwasababu ni mwanaume na hutaki kuonekana boya, inakubidi unajikaza pia, lakini moyoni unasema,

"MUNGU simama na mimi mtumishi wako, BWANA wa majeshi wacha ukaonekana mahali hapa,

fanya hawa watu waliotuzunguka watushike tusipigane mfalme wa wafalme mungu wa eliya"!!!


[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…