Mr PARE
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 780
- 520
Inasemekana manesi ndio wanawake wasafi zaidi na wenye huruma na kujali waume zao.
Hii inatokana na nature ya kazi yao ambayo ukarimu kwa mgonjwa ndio kipaumbele chao.
Je! Kuna ukweli wowote kuhusu hili?
FUNGUKA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inatokana na nature ya kazi yao ambayo ukarimu kwa mgonjwa ndio kipaumbele chao.
Je! Kuna ukweli wowote kuhusu hili?
FUNGUKA
Sent using Jamii Forums mobile app