Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Dah..Pole sana..naona umevurugwaaaa...hukusoma ile ripoti ya utafiti?? Itafute uisome labda ni mmoja wao huyo...Hata hivyo huyo unayemuomba alikwisha sema tuishi nao kwa akili 😀😀😀Mungu Wasamehe Wanawake Wote
Wanaoponda Wanaume Wafupi,
Wanene, Wabaya Na Masikini
Wape Maisha Marefu
Waendelee Kuchezewa Na MahandSome Hadi Uzeeni
Amen_
Kwani Mi Ni Bonge....????unanenepaje na wewe ni maskini .huo ni ubinafsi wa hali ya juu hufai hata kidogo
Na Ndio Mana Nimewaombea waish miaka mingiDah..Pole sana..naona umevurugwaaaa...hukusoma ile ripoti ya utafiti?? Itafute uisome labda ni mmoja wao huyo...Hata hivyo huyo unayemuomba alikwisha sema tuishi nao kwa akili 😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Week End ImeanzaLeo mada za kujifariji zipo nyingi humu leo
nimeamini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Week End Imeanza
Mungu Wasamehe Wanawake Wote
Wanaoponda Wanaume Wafupi,
Wanene, Wabaya Na Masikini
Wape Maisha Marefu
Waendelee Kuchezewa Na MahandSome Hadi Uzeeni
Amen_
Kumbe NimekugusaPotelea mbali na dua lako baya.
Usimuhukumu Mtu Kama HaumjuiPole, wenzako walivyokuwa wanagaiwa urefu wewe ulijificha wapi? (joking)
Mie Wakawaida tuu Bt Nimependa kushare Na nyie Hayo MakituMtoa mada wewe ni mfupi,mbaya na masikini?
Ila nimecheka sana kwakweli
Vumilia tu hata wanawake nao wanavumilia mengi tu kutoka kwenu.