Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri; Hatimaye Mdude Nyagali atimiza Mwaka mmoja gerezani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huyu Kijana wa kutokea Mlowo Mbozi, Mkulima duni wa jembe la mkono ambaye kwa maelezo yake mwenyewe bajeti yake kwa mwezi haizidi shilingi Laki 1 za Kitanzania, na ambaye hajawahi kumiliki hati yoyote ya kusafiria. Leo hii anatimiza mwaka mmoja Gerezani kwa Tuhuma za uongo za kuuza madawa ya kulevya na kusafirisha madawa hayo kutoka Pakistan kuyaleta Tanzania.

 
Si mama atamtoa baada ya kikao na vyama vya siasa?
 
Kukichwa kutapambazuka
 
Maajabu mengi utayakuta bongo tu

Kashikwa na madawa ya kulevya akitoka nayo Pakistan kuja nayo Tanzania na hapo hajawahi miliki passport daaaaa

Imagine!

Bongo nyosso!
 
Mungu aliyesimama nae kwa Mwaka mzima atamvusha kwenye Hilo analopitia.
 
akitoka gerezani atajifunza kukaa kimya na kuwa na adabu.
somo kwa wanaopenda kucheza na serikali
 
Wasiwasi wangu the more things change the more they are the same. Hadi sasa benefit of doubt inatawala mawazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…