Munir Akram, Balozi wa Pakistan kwenye Umoja wa Mataifa anazungumia kuhusu ubaya wa Israile kuwaua Rraia wa Kipalestina wasiokuwa na hatia

Munir Akram, Balozi wa Pakistan kwenye Umoja wa Mataifa anazungumia kuhusu ubaya wa Israile kuwaua Rraia wa Kipalestina wasiokuwa na hatia

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Munir Akram Balozi wa Pakistan Kwenye Umoja wa Mataifa Anazungumia Kuhusu Ubaya wa israil kuwauwa Raia wa Kipalestina wasiokuwa na hatia. Kwa kisingizio cha kuwamaliza Hamas.


 
Ubaya ni kwamba hamas walipovamia October 7 hawakudili na wanajeshi pekee .......walidili mpaka na raia......ndio maana Netanyahu naye anawapiga wotee wale wa kujifanya jeuri wapole wapenda ngono mabaunsa mpaka chocolate........hao dawa ni kuua wote mpaka kuku kama wapo kwenye mabanda yao maaana ni wajeuri sana......na tena washajifunza kubeba bomu
 
Ubaya ni kwamba hamas walipovamia October 7 hawakudili na wanajeshi pekee .......walidili mpaka na raia......ndio maana Netanyahu naye anawapiga wotee wale wa kujifanya jeuri wapole wapenda ngono mabaunsa mpaka chocolate........hao dawa ni kuua wote mpaka kuku kama wapo kwenye mabanda yao maaana ni wajeuri sana......na tena washajifunza kubeba bomu
Maadam israhell ipo hata waue mpaka nzi wajiandae na tukio jengine kubwa kuliko hili miaka kumi na kadhaa mbele
 
Maadam israhell ipo hata waue mpaka nzi wajiandae na tukio jengine kubwa kuliko hili miaka kumi na kadhaa mbele
Inawasidia au itabadilisha nini wakati mpaka mjipange tena pale gaza sio chini ya miaka 30........unafikiri na yeye Israel atakuwa anakusubilia tu??..............kweli watu wa mudi mnamatatizo ya miaka bilioni
 
Huyu ni mpumbavu kabisa ,wa Afghanistan karibia million 2(ambao pia ni waislam)wamefukuzwa Pakistan hili haoni kuwa ni tatizo?
Hawa mashekh akili wanapelekaga wapi?
 
Kama anawapenda hao magaidi awapeleke kwao . Kam wanawapenda waislam wenzao mbona wa afgan wengi wametimulia kwao
 
Umoja wa mataifa ni unafik tu, hakuna mwenye ubavu wa kuwapinga mazayuni wala wamarekani humo.

Nchi za Kiislam kama hazina unafik wangejitowa tu katika huo mkusanyiko wa makanisa.
 
Umoja wa mataifa ni unafik tu, hakuna mwenye ubavu wa kuwapinga mazayuni wala wamarekani humo.

Nchi za Kiislam kama hazina unafik wangejitowa tu katika huo mkusanyiko wa makanisa.
Jeuri ya kujitoa wataitoa wapi? Vijana wa kiislam kila siku wanakufaa wakiwa wanajaribu kuvuka bahari ya mediterranean ili waingie Europe na America, kwanini wasiende Iran, Qatar, Oman, Saud Arabia ? Huko kwa kafiri wanafuata nini?
 
Jeuri ya kujitoa wataitoa wapi? Vijana wa kiislam kila siku wanakufaa wakiwa wanajaribu kuvuka bahari ya mediterranean ili waingie Europe na America, kwanini wasiende Iran, Qatar, Oman, Saud Arabia ? Huko kwa kafiri wanafuata nini?
Waende kwaa mazayuni? Ni heri kwa wakristo huko kuliko kwa mazayuni.
 
Jeuri ya kujitoa wataitoa wapi? Vijana wa kiislam kila siku wanakufaa wakiwa wanajaribu kuvuka bahari ya mediterranean ili waingie Europe na America, kwanini wasiende Iran, Qatar, Oman, Saud Arabia ? Huko kwa kafiri wanafuata nini?
Yaaaani una swali logical sana,lakini I'm sure utapewa jibu jepesi sana kuliko hata unavyotarajia.
 
Back
Top Bottom