Aisee..! DahKama alikubali kuingia kwenye siasa kwa ridhaa yake ni vyema mambo ya ushungi aweke pembeni
Kuna walio kubali kuingia katika siasa kwa ridhaa zao na wakawa Wana vaa ma shanga makubwamakubwa yenye ka kidani chenye mpishano wa nembo mbona hamkuwa washauri waya Vue au waache kuyavaa!!!!!????Kama alikubali kuingia kwenye siasa kwa ridhaa yake ni vyema mambo ya ushungi aweke pembeni
Kinawakereketa MARWEBO kawashinda huko ........Point hapa ni udini mengine porojo...chuki kwanini rais muislam,mwanamke na anafuata imani yake
Kama alikubali kuingia kwenye siasa kwa ridhaa yake ni vyema mambo ya ushungi aweke pembeni
Hapo mnakosea sana,Point
Shetani anatokana na Majini na Watu, naanza kuhisi jambo hapa.Anataka rais akae kichw wazi, hapo ndo roho yake itaridhika
Shwain, ndio hao wanaopoteza uwezo wakuona mapema!!Kuna kitu anataka kuona
Shungi girlKama alikubali kuingia kwenye siasa kwa ridhaa yake ni vyema mambo ya ushungi aweke pembeni