Muogope mtu asiyependa miti au wanyama

Muogope mtu asiyependa miti au wanyama

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Mtu asiye na upendo kwa miti hana huruma kwa maisha na asiyejali wanyama hana utu wa ndani.

Miti inatupatia hewa safi, kivuli, na uhai, wakati wanyama ni sehemu muhimu ya mfumo wa maisha duniani.

Ikiwa mtu anaweza kukata mti bila sababu au kutesa mnyama bila huruma, hana mipaka ya ukatili wake.

Kesho anaweza kufanya jambo baya zaidi kwa binadamu mwingine bila kujali.

Upendo kwa mazingira ni kielelezo cha utu.

Ukitaka kujua moyo wa mtu, angalia anavyotendea viumbe wasio na sauti ya kujitetea.

Ukiona mtu anajenga nyumba na hataki mti wowote upandwe kwenye viunga vyake mchunguze vizuri utagundua ni mtu katili sana.
 
Hata ukitaka kujua nyumba yenye upendo nawapa siri waoaji nenda nyumba yenye ukijani yaani yenye maua.

Ukiona nyumba imependeza miti na maua pana Nuru na amani Hapo ni sehemu sahihi.

Miti na maua katu hiviwezi stawi pasipo na utulivu,amani na upendo.

Nyumba yeyeto yenye vurugu, kelele,magomvi huwezi kuta maua yanastawi mwagilia maji uwezavyo.

Maua miti,paka havikai nyumba yenye vurugu ugomvi nk.
 
Kanuni ya upendo inasema ukiupenda mmea nao utakupenda coz mimea ni roho thus ina uhai
 
Mtu asiye na upendo kwa miti hana huruma kwa maisha na asiyejali wanyama hana utu wa ndani.

Miti inatupatia hewa safi, kivuli, na uhai, wakati wanyama ni sehemu muhimu ya mfumo wa maisha duniani.

Ikiwa mtu anaweza kukata mti bila sababu au kutesa mnyama bila huruma, hana mipaka ya ukatili wake.

Kesho anaweza kufanya jambo baya zaidi kwa binadamu mwingine bila kujali.

Upendo kwa mazingira ni kielelezo cha utu.

Ukitaka kujua moyo wa mtu, angalia anavyotendea viumbe wasio na sauti ya kujitetea.

Ukiona mtu anajenga nyumba na hataki mti wowote upandwe kwenye viunga vyake mchunguze vizuri utagundua ni mtu katili sana.
Hapo kwenye miti nakuunga mkono lakini kwenye wanyama hapana mkuu. Hebu fikiria ndio umerudi zako gheto usiku umechoka mbu wanakupokea kwa shangwe hujabadilisha nguo unaona bonge la nyoka ndani tena chini ya kitanda chako. Je, utalala usingizi? Au utaendelea na msimamo wako wa kusema hakuna kutesa wanyama?
 
Mtu asiye na upendo kwa miti hana huruma kwa maisha na asiyejali wanyama hana utu wa ndani.

Miti inatupatia hewa safi, kivuli, na uhai, wakati wanyama ni sehemu muhimu ya mfumo wa maisha duniani.

Ikiwa mtu anaweza kukata mti bila sababu au kutesa mnyama bila huruma, hana mipaka ya ukatili wake.

Kesho anaweza kufanya jambo baya zaidi kwa binadamu mwingine bila kujali.

Upendo kwa mazingira ni kielelezo cha utu.

Ukitaka kujua moyo wa mtu, angalia anavyotendea viumbe wasio na sauti ya kujitetea.

Ukiona mtu anajenga nyumba na hataki mti wowote upandwe kwenye viunga vyake mchunguze vizuri utagundua ni mtu katili sana.
NAONA UNAMCHOKOZA BWANA ROSTAM AZIZI NA FAMILIA YAKE.
 
Mtu asiye na upendo kwa miti hana huruma kwa maisha na asiyejali wanyama hana utu wa ndani.

Miti inatupatia hewa safi, kivuli, na uhai, wakati wanyama ni sehemu muhimu ya mfumo wa maisha duniani.

Ikiwa mtu anaweza kukata mti bila sababu au kutesa mnyama bila huruma, hana mipaka ya ukatili wake.

Kesho anaweza kufanya jambo baya zaidi kwa binadamu mwingine bila kujali.

Upendo kwa mazingira ni kielelezo cha utu.

Ukitaka kujua moyo wa mtu, angalia anavyotendea viumbe wasio na sauti ya kujitetea.

Ukiona mtu anajenga nyumba na hataki mti wowote upandwe kwenye viunga vyake mchunguze vizuri utagundua ni mtu katili sana.
Nadhani hii picha hapo chini inakukumbusha mbali. Irudishe asee!

istockphoto-1134056823-612x612.jpg
 
Kutokana na comment yako, fafanua kidogo Rostam linamhusuje?
Huyo ndiyo fyeka fyeka wa wanyama kama tembo nk na misitu yetu yote ...ukisikia biashara ya pembe za ndovu au magogo bandarini muhusika ni huyo kiumbe na familia yake.
 
Back
Top Bottom