dogo amekaa kilokole sana mbona...du kama anatumia hayo madude ndio basi tena..
Walokole ndo wabaya...
Mtu akipata maswahibu ya dunia...anaokoka.
Akiugua ngoma....anaokoka
Akiachwa/achika.....anaokoka
Maisha yakimpiga dole...anaokoka.
Mwavuli wa Ulokole ni mbaya sana.
....napita tu....
Jamaa yupo poa ila stress tu, tuzo yake kalundikiwa huihui mmoja, ya Barnaba nayo kapewa huihui, ya Diamond nayo kapewa huyo huyo huihui. Kijana ameshindwa ku contain machungu ndo maana ulimwona kama kala ngada.
Na pia unatakiwa kujua hakuna mtu mwema ila wapo wanaojitahidi kuwa wema baada ya kushtukia uovu wao at least them.Walokole ndo wabaya...
Mtu akipata maswahibu ya dunia...anaokoka.
Akiugua ngoma....anaokoka
Akiachwa/achika.....anaokoka
Maisha yakimpiga dole...anaokoka.
Mwavuli wa Ulokole ni mbaya sana.
....napita tu....
Hv nikweli hyo kitu ukionja huwez kuacha?
Alafu mnajua huyu Ben Poul alianza kuimba kwanza kanisani akahamia secular hata Lina na huyu Baraka wote wanaibuka lakini
Hawana mashiko yoyote zaidi ya stress na kujiumiza.
Kuna nguvu fulani secular rock stars wanaitumia not known to many lakini usifikiri mtu ana hit from nowhere.