Muonekana wako pekee hautoshi kuwaeleza wengijne juu ya uwezo wako

Muonekana wako pekee hautoshi kuwaeleza wengijne juu ya uwezo wako

Street brain

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2022
Posts
584
Reaction score
767
Jambo letu tena!
Muonekano wako pekee hautoshi kuwaeleza wengine uwezo wako au nguvu zako. Jitahidi kuwavutia wengine kwa namna utakavyotumia akili yako kutatua changamoto zinazoisibu jamii.
Ichangamshe akili yako ili upate namna ya kuepuka mawazo yasiyosaidia lolote. Jizoeze kujikubali na daima tengeneza furaha yako ianzie ndani mwako. Kwa jinsi hiyo utawavutia wengi na wengi watatambua mchango wako.

Pocco
Hata kama huna hela lakini siunaishi 🤣🤣
 
Jambo letu tena!
Muonekano wako pekee hautoshi kuwaeleza wengine uwezo wako au nguvu zako. Jitahidi kuwavutia wengine kwa namna utakavyotumia akili yako kutatua changamoto zinazoisibu jamii.
Ichangamshe akili yako ili upate namna ya kuepuka mawazo yasiyosaidia lolote. Jizoeze kujikubali na daima tengeneza furaha yako ianzie ndani mwako. Kwa jinsi hiyo utawavutia wengi na wengi watatambua mchango wako.

Pocco
Hata kama huna hela lakini siunaishi [emoji1787][emoji1787]
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Jambo letu tena!
Muonekano wako pekee hautoshi kuwaeleza wengine uwezo wako au nguvu zako. Jitahidi kuwavutia wengine kwa namna utakavyotumia akili yako kutatua changamoto zinazoisibu jamii.
Ichangamshe akili yako ili upate namna ya kuepuka mawazo yasiyosaidia lolote. Jizoeze kujikubali na daima tengeneza furaha yako ianzie ndani mwako. Kwa jinsi hiyo utawavutia wengi na wengi watatambua mchango wako.

Pocco
Hata kama huna hela lakini siunaishi 🤣🤣
I appreciate that💯👍
 
Hakuna mtu ambaye hana hela. Tunatofautiana viwango vya hiyo pesa. Kuwa chachu ya mabadiliko chanya ndani ya jamii unayoishi ni jukumu la kila mtanzania.
 
Back
Top Bottom