Muonekano huongeza uwezekano

Muonekano huongeza uwezekano

Ths Is Me

Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
25
Reaction score
59
MUONEKANO
Muonekano wako ni muhimu sana katika haya maisha yetu ya sasa. Kuvaa kwako ni muhimu sana na kunaongeza thamani ya utu wako. Kuna watu wanavaa tu ili mradi wamevaa lakini kuvaa vizuri kunakujengea mambo mengi sana kama kijiamini, kuheshimiwa na kuaminiwa. Kwa sababu mtu anakuamini kwa kiasi fulani kutokana na ulivyovaa na kupendeza hivyo basi rafiki yangu jitahidi kuvaa na kupendeza zaidi ili baadhi ya mambo yako yakae sawia.

UWEZEKANO

Muonekano kuongeza uwezekano ipo hivi:- Kutokana na kuvaa kwako na kupendeza vizuri kunakupa uwezekano wa jambo fulani katika kulifanya. Mfano unaenda kukuopa pesa, mtu cha kwanza ataangalia muonekano wako na ndipo atajua una uwezo wa kulipa au la. Hata ukikutana na mwanamke njiani tu na ukataka kumtongoza / ukamtongoza cha kwanza ataangalia muonekano wako kwanza jinsi ulivyovaa na kutokezea [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

[emoji117] Kumbuka unapotoka nje au unatoka na rafiki zako DRESS TO KILL aaaah vaa pendeza utajiamini na kujikubaliiiii [emoji94]

True Story[emoji118]
 
Ni kweli...hasa wale wenzangu wa oldskuld kina papa mafido
 
Umeongea ukweli mtupu...Nishawahi kuwa mhanga wa kudhaniwa kivingine kwakuwa nilivaa ovyoovyo tofauti na watu wengine mahala nilipokuwa.
Pole sana. Nilikuona ulivyokuwa huna amani
 
MUONEKANO
Muonekano wako ni muhimu sana katika haya maisha yetu ya sasa. Kuvaa kwako ni muhimu sana na kunaongeza thamani ya utu wako. Kuna watu wanavaa tu ili mradi wamevaa lakini kuvaa vizuri kunakujengea mambo mengi sana kama kijiamini, kuheshimiwa na kuaminiwa. Kwa sababu mtu anakuamini kwa kiasi fulani kutokana na ulivyovaa na kupendeza hivyo basi rafiki yangu jitahidi kuvaa na kupendeza zaidi ili baadhi ya mambo yako yakae sawia.

UWEZEKANO

Muonekano kuongeza uwezekano ipo hivi:- Kutokana na kuvaa kwako na kupendeza vizuri kunakupa uwezekano wa jambo fulani katika kulifanya. Mfano unaenda kukuopa pesa, mtu cha kwanza ataangalia muonekano wako na ndipo atajua una uwezo wa kulipa au la. Hata ukikutana na mwanamke njiani tu na ukataka kumtongoza / ukamtongoza cha kwanza ataangalia muonekano wako kwanza jinsi ulivyovaa na kutokezea [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

[emoji117] Kumbuka unapotoka nje au unatoka na rafiki zako DRESS TO KILL aaaah vaa pendeza utajiamini na kujikubaliiiii [emoji94]

True Story[emoji118]
Kwa nini umelenga muonekano na kukopa na uzinzi?
 
Ndo maana wengine wapo tayari kuazima pamba ndo wafanye mtoko
 
Hilo Ni kweli Kabisa. Mavazi humpa mtu Heshima kubwa na hata ukienda popote utapokelewa kulingana na Ulivyo!
 
Umeongea ukweli mtupu...Nishawahi kuwa mhanga wa kudhaniwa kivingine kwakuwa nilivaa ovyoovyo tofauti na watu wengine mahala nilipokuwa.
Bila shaka sasa unapigilia pamba mubashara[emoji13]
 
Ukweli mtupu, nakumbuk nilienda sehem ni ya heshima san but wakt wa interview cha kwanza nilisifiwa uvaaji mpk kuambiwa kwa kuvaa vile nina pesa ila natafta kazi kusogeza siku....but nilifanikiwa faster kyanz kazi
 
Back
Top Bottom