Muonekano mpya wa simu ya Google Pixel 6a

Muonekano mpya wa simu ya Google Pixel 6a

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
463d417cf7afa6d01ff9b8d729c6fc64.png

Muonekano mpya wa simu ya Google Pixel 6a umetoka, na inaonekana Google imeamua kuweka design mpya kama Google Pixel 6. Itakuwa ni style moja katika simu zake zote.

Simu hii mpya ya gharama ya wastani (mid-ranger), itakuwa na design mpya, kamera zitakuwa katika style ya mstari mmoja (style ya Visor); na itakuwa na kamera mbili na LED Flash. Pixel 5a ilikuwa na kamera upande wa kushoto.

Upande wa mbele, kamera ya selfie Pixel 6a itakuwa katika style ya hole-puch katikati ya kioo, tofauti na Pixel 5a ambayo ilikuwa na kamera ya selfie upande wa kushoto.

Another sad news kwa watumiaji wa Headphones ambazo sio Wireless: haitakuwa na sehemu ya kuchomeka pin ya Headphones kama ilivyo katika Pixel 5a.
 
View attachment 2020620Muonekano mpya wa simu ya Google Pixel 6a umetoka, na inaonekana Google imeamua kuweka design mpya kama Google Pixel 6. Itakuwa ni style moja katika simu zake zote.

Simu hii mpya ya gharama ya wastani (mid-ranger), itakuwa na design mpya, kamera zitakuwa katika style ya mstari mmoja (style ya Visor); na itakuwa na kamera mbili na LED Flash. Pixel 5a ilikuwa na kamera upande wa kushoto.

Upande wa mbele, kamera ya selfie Pixel 6a itakuwa katika style ya hole-puch katikati ya kioo, tofauti na Pixel 5a ambayo ilikuwa na kamera ya selfie upande wa kushoto.

Another sad news kwa watumiaji wa Headphones ambazo sio Wireless: haitakuwa na sehemu ya kuchomeka pin ya Headphones kama ilivyo katika Pixel 5a.
Used hazijatoka?
 
Simu sio core business ya google.

Hawatafika levels za kina samsung na apple ila wanajitahidi.

Naheshimu mawazo yako sema The future is uncertain... factors nyingi ni variables kwahiyo mabadiliko yanaweza kutokea mda wowote angalia Huawei sasa hivi

iphone ilizinduliwa 2007 leo inadominate the Market kina Nokia wako wapi so mambo haya yanabadilika
 
Kwenye UI za Android... themes, widgets n.k sio kitu cha kulalamika maana kuna options za ku Customize vyovyote unavyotaka pia kuna na applications kibao sion kama hiyo ni hoja angalau changamoto ipo kwa iOS kidogo

nop mkuu,unajua kwanini samsung anuza sana simu za android??
jibu ni kwamba ana kupa vingi kwenye simu yake.
huawei baada ya kuona hili akaiga,bahati mbaya yakamkuta mengine.

simu ili ivutie,tunaanza na muonekano(nje na ndani),halafu perfomance.hii simu hata ukiifungua ndan yaani namna inavyoonekana ktk apps inafaa uwe na roho ngumu sana kuielewa.
ukiangalia simu za google pixel hana cha kukupa zaidi ya camera,kila kitu mle ni utumbo wa bata.

apple anachomzidi samsung ni finnishing tu,ila design na UI samsung yuko league ya peke yake ukilinganisha na android wengine.
 
Naheshimu mawazo yako sema The future is uncertain... factors nyingi ni variables kwahiyo mabadiliko yanaweza kutokea mda wowote angalia Huawei sasa hivi

iphone ilizinduliwa 2007 leo inadominate the Market kina Nokia wako wapi so mambo haya yanabadilika
Simu za Pixels ni kwa ajili ya google enthusiasts.

Angalia trend yake kuanzia yale matoleo ya mwanzo kabisa Nexus, Pixels 2 n.k

Ingekuwa google anataka kuwa dominant kwenye hiyo sector angeshakuwa serious toka mwanzo.

Yeye anatoa smartphone kwa wateja wachache wanaozipenda simu zake na sio aje kudominate smartphone industry.

Na kumiliki a whole mobile phone division is not a simple task, microsoft, LG na mipesa yao walishindwa. Competition is extremely tough.

Angalia hata Sony, wanatoa smartphone kwa ajili ya enthusiasts na sio waje kushindana na kina Samsung.
 
nop mkuu,unajua kwanini samsung anuza sana simu za android??
jibu ni kwamba ana kupa vingi kwenye simu yake.
huawei baada ya kuona hili akaiga,bahati mbaya yakamkuta mengine.

simu ili ivutie,tunaanza na muonekano(nje na ndani),halafu perfomance.hii simu hata ukiifungua ndan yaani namna inavyoonekana ktk apps inafaa uwe na roho ngumu sana kuielewa.
ukiangalia simu za google pixel hana cha kukupa zaidi ya camera,kila kitu mle ni utumbo wa bata.

apple anachomzidi samsung ni finnishing tu,ila design na UI samsung yuko league ya peke yake ukilinganisha na android wengine.
95% ya wanunuzi wa simu duniani wanaangalia bei na sio uzuri wa simu.

Samsung amefanya vizuri sokoni kwasababu alitarget zaidi middle na low income people.

Masoko yake makuu ni India, China, Africa na Latin America. Hizo flagships anauza kwa wachache sana kuliko hizo midrange zake.

Hizo zote ni emmerging markets ambazo zina potential ya mauzo ya midrange phones. Na ndo anazouza units nyingi.

Ingekuwa watu wanaangalia uzuri wa simux kwanini tecno na infinix wanafanya vizuri Tanzania na sio Samsung?
 
Back
Top Bottom