Muonekano mpya wa yule mtoto wa Nigeria

Mungu waepushe na roho mbaya na ukatili dada zetu wa Kiafrika. Na wanaume nao mkizalisha wadada tunzeni watoto wenu. Je mngetupwa na wazazi wenu mngefikia mlipo Leo?
 
Daahh mi ningekuwa na uwezo ningesaidia watoto yatima na walitelekezwa na wazazi wao!basi tu sina uwezo ila siku nikiupata hili jambo talifanya kwa moyo wote.watoto wa hivyo wapo wengi tu hata hapa tanzania
 
Ndiyo maana mnabarikiwa cku hadi cku....sisi acha tuendelee kwenye kilindi cha black continent
 
Wazungu hawa japo wana tamaduni nyingi mbovu mbovu ila binafsi nawakubali sana. Japo sijafika nipatakapo, ila mzungu kanitoa mbali sana. Sijui hivi sasa ningekuwa wapi duh! Hawa jamaa wanatajwa kuwa wana roho mbaya, ila cha ajabu hata roho nzuri wanaongoza...
 
uzuri wa wenzetu wazng wana spirt za kimsimamo sn....yn wakiamua kufanya kitu bs wanafanya kwelii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…