Muonekano wa members wa JF wakiwa FB.

Hahaaa. Ila yale huwa nayaita majaribu sababu yanataka jicho la tatu nje ya hapo hayo hayo mazuri yanaweza geuka na kuwa mabaya mbeleni.
Kuna member mmoja humu ingelikuwa ni suala ka mnakutana nae tu kuteka maji kisimani / bombani angekuwa ameshakukula tyr
 
JF au social media yotote haireflect maisha halisi ya mtu badala ya kuwachora husikute wewe ndo unachorwa
 
Bila shaka Na Nina ushahidi kuwa

MIMI NILIKUWA MEMBER MDOGO KULIKO WOTE HUMU Jf ilikuwa mwaka 2006.before sijasahau username Na password
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…