nipo bhana ila hiki kijiwe cha mapenzi sijachomoza mda. Napitaga kule kwenye madili ma business forum na matangazo masmal small. Huku kwenu kwenye malavi davi ukija lazima uwe na njuruku a.k.a shekeli mfukoni bhana nisije umbuliwa na bibie lara 1 bureeeee na wale wengine. tehe tehe tehe tehe.......