DissDotCom
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 395
- 268
Habari wakuu, Poleni na Mvua
Leo nimeamua tujadiliane baadhi ya tabia na muonekano wa mwanaume asiye na pesa..
1. Viatu huisha upande mmoja
2. Huitika hata mara 5 akiitwa mara 1
3. Hukimbilia Remote akiwa ugenini
4. Hunywea maji kwenye jagi hata kama kuna glass au kikombe
5. Suruali kunasa kwenye makalio mara kwa mara
6. Tone la mkojo kwenye suruali baada ya kujisaidia
7. Chakula kuruka mdomoni pindi anakula
8. Kufungua soda/bia kwa meno
9. Kuvaa socks hadi magotini hata kama hayupo mazoezini
10. Kuangalia movie zilizotafsiriwa
11. Kufuta jasho kwa vidole
12. Kupiga mihayo hadi machozi
13. Kuingilia ugomvi hata wa watoto wadogo
14. Kushuhudia matendo machafu kama vile Kuku, Mbwa, Bata kufanya mapenzi mbele yake..na hii inatokana na hata wanyama kukudharau sababu huna PESA
Leo nimeamua tujadiliane baadhi ya tabia na muonekano wa mwanaume asiye na pesa..
1. Viatu huisha upande mmoja
2. Huitika hata mara 5 akiitwa mara 1
3. Hukimbilia Remote akiwa ugenini
4. Hunywea maji kwenye jagi hata kama kuna glass au kikombe
5. Suruali kunasa kwenye makalio mara kwa mara
6. Tone la mkojo kwenye suruali baada ya kujisaidia
7. Chakula kuruka mdomoni pindi anakula
8. Kufungua soda/bia kwa meno
9. Kuvaa socks hadi magotini hata kama hayupo mazoezini
10. Kuangalia movie zilizotafsiriwa
11. Kufuta jasho kwa vidole
12. Kupiga mihayo hadi machozi
13. Kuingilia ugomvi hata wa watoto wadogo
14. Kushuhudia matendo machafu kama vile Kuku, Mbwa, Bata kufanya mapenzi mbele yake..na hii inatokana na hata wanyama kukudharau sababu huna PESA