trust112 Senior Member Joined Feb 3, 2014 Posts 194 Reaction score 139 May 29, 2019 #1 Tafadhali mwenye ufaham naomba msaada kujua utaratibu na mchakato mzima mpaka kupata kibali cha biashara hiyo
Tafadhali mwenye ufaham naomba msaada kujua utaratibu na mchakato mzima mpaka kupata kibali cha biashara hiyo
G gery lundah New Member Joined Jun 29, 2019 Posts 1 Reaction score 0 Jun 29, 2019 #2 Nina wazo la kufungua duka la pembejeo Za mifugo na kilimo,, ni vigezo gani vinahitajika ili kufungua biashara hiyo?
Nina wazo la kufungua duka la pembejeo Za mifugo na kilimo,, ni vigezo gani vinahitajika ili kufungua biashara hiyo?
S Soulja boy JF-Expert Member Joined Oct 3, 2015 Posts 4,052 Reaction score 7,375 Jun 29, 2019 #3 Lazma uwe na leseni ya biashara,chet cha Tpri vingne kama TFRA,TFDA utafuatilia ukishafungua.
chilundu JF-Expert Member Joined Sep 28, 2013 Posts 347 Reaction score 226 Jun 29, 2019 #4 Soulja boy said: Lazma uwe na leseni ya biashara,chet cha Tpri vingne kama TFRA,TFDA utafuatilia ukishafungua. Click to expand... mkuu inaweza kugharimu mtaji kiasi gani hasa ikiwa hautoanza na biashara ya kuuza mbolea
Soulja boy said: Lazma uwe na leseni ya biashara,chet cha Tpri vingne kama TFRA,TFDA utafuatilia ukishafungua. Click to expand... mkuu inaweza kugharimu mtaji kiasi gani hasa ikiwa hautoanza na biashara ya kuuza mbolea
S Soulja boy JF-Expert Member Joined Oct 3, 2015 Posts 4,052 Reaction score 7,375 Jul 2, 2019 #5 Kwa Agro ya kawaida anza na 2M ila chet cha tpri muhmu nkama lak 4-5 me na plan ya kufungua baadae.
S Soulja boy JF-Expert Member Joined Oct 3, 2015 Posts 4,052 Reaction score 7,375 Jul 2, 2019 #6 Uko sehemu gan mkuu