Muongozo juu ya biashara ya rasta za kike

Muongozo juu ya biashara ya rasta za kike

ndibuka

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
204
Reaction score
300
Habarini wakuu,nipo Mkoani huku na baada ya kuhangaika sana kutafuta biashara kwa ajili ya kipato cha ziada. Nimegundua kua biashara ya rasta za wadada inatoka sana,ninaomba mwenye abc juu ya biashara hii tuwasiliane kwa namba hapo chini, lengoni kujuzwa wapi kwa Dar ntapata mzigo wa jumla na kwa bei nzuri,kama ni kiwandani ama sehemu nyingine tofauti......... natanguliza shukrani zangu

Mawasiliano
0714412676
 
Nenda mbagala kama Unaenda njia ya Kongowe mzinga utakuta kiwanda cha rasta pale kushoto .
Mwanga.
 
Sijui kama kiwandani unatakiwa uwe na mtaji kiasi gani ndo uende. Binafsi mi nachukua mzigo k'koo ambapo sasa carton ni laki moja. Sijajua kawa kiwandani.
 
rasta tafuta chimbo kariakoo kanunue huko maana kiwandani wanatoa ila kuanzia 5m+
 
Zile ambazo mtaani wanauza 1,000 huwa zinakaa 12. Kwa bei ya kariakoo ni 10,000. Hiyo ni bei ya December niliagizwa na mtu nikiwa kwenye mizunguko yangu.
 
Sikupata nasubiri kuna member kaniambia yuko south humu akirudi atanichek.

Ila naendelea kupata muongozo kwa wauzaji k.koo taratbu taratbu.
Okay mimi natamani kujua bei ya piece 100
Mana pana mtu kaniambia ni kwanzia laki
 
Back
Top Bottom