Wilawela
Member
- Nov 16, 2011
- 92
- 32
Tume ya mabadiliko ya katiba inawaomba wananchi wote kupitia mwongozo huu uliotolewa na Tume na kuwasilisha maoni/Mapendekezo yao katika kipindi cha wiki mbili (2) baada ya tarehe ya kutolewa tangazo hili(14 Februari 2013).Maoni hayo yawasilishwe Tume
kupitia : Makao Makuu
Mtaa wa Ohio,S.L.P 1681,
DAR ES SALAAM
Simu:+25522 2133425
Nukushi(Faksi):+255 22 2133442
Tovuti:Tume ya Mabadiliko ya Katiba
Au
Ofisi Ndogo
Jengo la Ofisi ya Mfuko wa Barabara,
Mtaa wa Kikwajuni Gofu
S.L.P 2775
ZANZIBAR
Simu: +255 224 3220768
Nukushi: +255 224 2230769
Jaji Joseph S. Warioba
Mwenyekiti
My take;
1.Wadau tunaendelea na Mabadiliko ya Katiba Tanzania Kama ilivyotolewa na tume ya Mabadiliko ya Katiba. Shime Watanzania naomba tuwe ni sehemu ya kuleta mabadiliko chanya ya katiba ya nchi yetu. Naomba watanzania wenzangu tutumie fursa hizi na kuacha tabia ya kulalamikia pembeni. Wasiwasi wangu ni wajumbe Kuchaguliwa na Wajumbe wa Kamati ya Maendeleo ya Kata(WDC) Ambao wajumbe wake ni:
1.Mheshimiwa Diwani wa Kata- Mwenyekiti
2,Mtendaji wa Kata(WEO)- Katibu
3.Madiwani wa Viti Maalum wanaoishi kwenye Kata Hiyo:
4. Wenyeviti wote wa Mitaa/vijiji ndani ya Kata Hiyo
Kuhusu kuchaguliwa Mtaani sawa lakini kwenye WDC kuna Tatizo Naomba Tupendekeze WDC ianadae mkutano tu na wananchi/wakazi wote wa Kata wawapigie kura wawakilishi wao wanne(4) ili wawe wawakilishi wa Kata na si wa WDC!
2.Sifa za Kuomba Ujembe wa Baraza ni hizi hapa chini sote tuombe:
.4.1. Awe Raia wa Tanzania.
4.2. Awe na umri wa miaka 18 au zaidi.
4.3. Awe na uwezo wa kusoma na kuandika.
4.4. Awe mkazi wa kudumu wa Kijiji/ Mtaa / Shehia husika.
4.5. Awe Mtu mwenye hekima, busara na uadilifu.
4.6. Awe Mtu mwenye uwezo wa kujieleza na kupambanua mambo
3.Utaratibu wa Kuomba:Huu hapa chini tuutumie:
6.1.1. Kwa kuzingatia sifa zilizoainishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0, kila
Mwananchi wa Kijiji / Mtaa husika anayependa kuwa mjumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa atawasilisha jina lake kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji / Mtaa. Uwasilishaji huo uambatane na taarifa zifuatazo:
6.1.1.1. Majina kamili ya mwombaji.
6.1.1.2. Jinsi yake.
6.1.1.3. Umri wake.
6.1.1.4. Elimu yake.
6.1.1.5. Kazi yake.
6.1.1.6. Sehemu anayoishi katika Kijiji / Mtaa husika.
6.1.2. Orodha ya majina ya Wananchi wote wanaotaka kuwa Wajumbe yatabandikwa kwenye maeneo ya wazi / matangazo ya kila Ofisi za Kijiji / Mtaa siku saba (7) kabla ya Mkutano ili wananchi wapate fursa ya kuyapitia na kujiridhisha kama walioomba wana sifa zilizoanishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0.
Aidha Mwongozo umeambatanishwa kwa rejea na unapatikana kwenye tovuti ya tume.
kupitia : Makao Makuu
Mtaa wa Ohio,S.L.P 1681,
DAR ES SALAAM
Simu:+25522 2133425
Nukushi(Faksi):+255 22 2133442
Tovuti:Tume ya Mabadiliko ya Katiba
Au
Ofisi Ndogo
Jengo la Ofisi ya Mfuko wa Barabara,
Mtaa wa Kikwajuni Gofu
S.L.P 2775
ZANZIBAR
Simu: +255 224 3220768
Nukushi: +255 224 2230769
Jaji Joseph S. Warioba
Mwenyekiti
My take;
1.Wadau tunaendelea na Mabadiliko ya Katiba Tanzania Kama ilivyotolewa na tume ya Mabadiliko ya Katiba. Shime Watanzania naomba tuwe ni sehemu ya kuleta mabadiliko chanya ya katiba ya nchi yetu. Naomba watanzania wenzangu tutumie fursa hizi na kuacha tabia ya kulalamikia pembeni. Wasiwasi wangu ni wajumbe Kuchaguliwa na Wajumbe wa Kamati ya Maendeleo ya Kata(WDC) Ambao wajumbe wake ni:
1.Mheshimiwa Diwani wa Kata- Mwenyekiti
2,Mtendaji wa Kata(WEO)- Katibu
3.Madiwani wa Viti Maalum wanaoishi kwenye Kata Hiyo:
4. Wenyeviti wote wa Mitaa/vijiji ndani ya Kata Hiyo
Kuhusu kuchaguliwa Mtaani sawa lakini kwenye WDC kuna Tatizo Naomba Tupendekeze WDC ianadae mkutano tu na wananchi/wakazi wote wa Kata wawapigie kura wawakilishi wao wanne(4) ili wawe wawakilishi wa Kata na si wa WDC!
2.Sifa za Kuomba Ujembe wa Baraza ni hizi hapa chini sote tuombe:
.4.1. Awe Raia wa Tanzania.
4.2. Awe na umri wa miaka 18 au zaidi.
4.3. Awe na uwezo wa kusoma na kuandika.
4.4. Awe mkazi wa kudumu wa Kijiji/ Mtaa / Shehia husika.
4.5. Awe Mtu mwenye hekima, busara na uadilifu.
4.6. Awe Mtu mwenye uwezo wa kujieleza na kupambanua mambo
3.Utaratibu wa Kuomba:Huu hapa chini tuutumie:
6.1.1. Kwa kuzingatia sifa zilizoainishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0, kila
Mwananchi wa Kijiji / Mtaa husika anayependa kuwa mjumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa atawasilisha jina lake kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji / Mtaa. Uwasilishaji huo uambatane na taarifa zifuatazo:
6.1.1.1. Majina kamili ya mwombaji.
6.1.1.2. Jinsi yake.
6.1.1.3. Umri wake.
6.1.1.4. Elimu yake.
6.1.1.5. Kazi yake.
6.1.1.6. Sehemu anayoishi katika Kijiji / Mtaa husika.
6.1.2. Orodha ya majina ya Wananchi wote wanaotaka kuwa Wajumbe yatabandikwa kwenye maeneo ya wazi / matangazo ya kila Ofisi za Kijiji / Mtaa siku saba (7) kabla ya Mkutano ili wananchi wapate fursa ya kuyapitia na kujiridhisha kama walioomba wana sifa zilizoanishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0.
Aidha Mwongozo umeambatanishwa kwa rejea na unapatikana kwenye tovuti ya tume.