Habari zenu ndugu zangu.
Naombeni kwa anayefahamu chochote kuhusu biashara hii ya shule za watoto wadogo anipe muongozo japo kwa uchache kwa kuzangatia yafuatayo:
1. Utaratibu wa usajili wa kituo na kiasi cha pesa cha kusajili
2. Curriculum nzuri ya kutumia ambayo ni applicable
3. Faida na hasara za biashara hii
4. Mchakato wa kupata walimu na namna ya uendeshaji ikiwemo mishahara na expenses nyngne za kiofisi
Nina mtaji wa 9M, natamani kufungua maeneo ya mjini nje ya mji siafiki sana nipo dar es salaam naishi Ilala.
Naombeni kwa anayefahamu chochote kuhusu biashara hii ya shule za watoto wadogo anipe muongozo japo kwa uchache kwa kuzangatia yafuatayo:
1. Utaratibu wa usajili wa kituo na kiasi cha pesa cha kusajili
2. Curriculum nzuri ya kutumia ambayo ni applicable
3. Faida na hasara za biashara hii
4. Mchakato wa kupata walimu na namna ya uendeshaji ikiwemo mishahara na expenses nyngne za kiofisi
Nina mtaji wa 9M, natamani kufungua maeneo ya mjini nje ya mji siafiki sana nipo dar es salaam naishi Ilala.