Kichwa cha habari hapo juu chahusika.
WanaJF nimelazimika kuomba msaada wa namna watakavyojiunga kidato cha tano mwaka huu kwani mpaka sasa nimechanganyikiwa.Kwa mujibu wa Sera ya elimu ya mwaka 1995 Uk.48 inaeleza kuwa mtu atajiunga na kidato cha tano ikiwa atakuwa amefaulu kwa kiwango kisichopungua daraja la tatu i.e Div.III point 25.Kwa mwaka huu daraja la tatu linaanzia Point 25-31 hapo vp au kuna sera nyingine ya elimu ilitoka mm binafsi nikawa siko up to date.Je, Kidato cha tano sasa watachukuliwa mpaka point ngapi hasa/.TAFADHALI NAOMBA MSAADA WANAJF.
WanaJF nimelazimika kuomba msaada wa namna watakavyojiunga kidato cha tano mwaka huu kwani mpaka sasa nimechanganyikiwa.Kwa mujibu wa Sera ya elimu ya mwaka 1995 Uk.48 inaeleza kuwa mtu atajiunga na kidato cha tano ikiwa atakuwa amefaulu kwa kiwango kisichopungua daraja la tatu i.e Div.III point 25.Kwa mwaka huu daraja la tatu linaanzia Point 25-31 hapo vp au kuna sera nyingine ya elimu ilitoka mm binafsi nikawa siko up to date.Je, Kidato cha tano sasa watachukuliwa mpaka point ngapi hasa/.TAFADHALI NAOMBA MSAADA WANAJF.