Crumpy Crumper
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,348
- 3,305
SSD 128gb kiasi gani mzee??Karibu Ozone Technologies tukupatie SSD mpya kabisa size unayohitaji. Tuna kampuni za Kingston, Kingspec na WD. Bei zetu ni nafuu sana. Jionee mwenyewe hapa chini bei zetu zilivyo rahisi.
Karibu tukusaidie kuipa kasi computer yako. Tunapatikana Machinga complex.
View attachment 2450050
View attachment 2450051
View attachment 2450052
View attachment 2450053
View attachment 2450054
View attachment 2450055
View attachment 2450056
View attachment 2450057
View attachment 2450058
SSD 128gb kiasi gani mzee??
Sata SSDHabari mkuu. SSD za 128 GB hatuna. Tuna 256 GB. Karibu ujipatie 256 GB kwa bei ya 128 GB. Bei zetu kwa SSD za 256 GB ni 89,000 kwa 69,000 kutegemeana na aina.
M.2 NVMe ( yenye pengo moja) yenye ukubwa wa 256 GB ni 89,000. Na shilingi 69,000 kwa SSD zote zilizobakia zenye ukubwa wa 256 GB.
Je wewe SSD yako ni aina gani.?
Karibu tukuhudumie.
Sata SSD
Umenunua mkuu? Hakuna Crack ya Fifa 23 unless ufanye Emulation ya Nintendo switch ama uwe na Jailbroken Ps4View attachment 2461111View attachment 2461112View attachment 2461113
View attachment 2461114
Msaada
Niki run iyo installer haileti chochote ili niendelee kuinstall fifa 23
Chief-Mkwawa
hamna nimedownload piratesbay lina 15gbUmenunua mkuu? Hakuna Crack ya Fifa 23 unless ufanye Emulation ya Nintendo switch ama uwe na Jailbroken Ps4
Uongo mkuu, kuwa makini na Virusi.hamna nimedownload piratesbay lina 15gb
Ama alternative cheza la Nintendo switch na Yuzu ama Ryunjix sema inabidi machine iwe na nguvu kidogohamna nimedownload piratesbay lina 15gb
Asante chiefUongo mkuu, kuwa makini na Virusi.
Fifa 22 nnalo na ni kubwa GB kama 40 so Fifa 23 ni zaidi ya hapo.
Kama una Hela kidogo Gamepass wanazo Fifa 21 na Fifa 22, subscription za magumashi miezi 2 ama 3 zipo kibao.
Hapa miezi 2 ni Euro 0.6 kama 2000 tu, unatumia Vpn kui activate nchi husika kisha unalogin nayo kwenye App ya Xbox kwenye pc, mara ya kwanza tu ndo unatumia vpn baada ya hapo unatumia tu kawaida.
Kuna game kama 400 hivi zinakuwa bure.
Gamepass ni website ya kudownload games!?Ama alternative cheza la Nintendo switch na Yuzu ama Ryunjix sema inabidi machine iwe na nguvu kidogo
Gamepass ni service kama Netflix ila baada ya Movie na series unapata games.Gamepass ni website ya kudownload games!?
kaka nina budget ya m.1.3 nataka gaming laptop kuna duka lolote la used unalo lifahamu naweza kupata?Gamepass ni service kama Netflix ila baada ya Movie na series unapata games.
Ukilipia unapata games bure kwa huo muda, subscription ikiisha unakuwa huwezi kucheza.
Ukienda Dukani kuzunguka ngumu kupata, cheki online kina kupata, Jiji etc then uliza maduka yao pitia.kaka nina budget ya m.1.3 nataka gaming laptop kuna duka lolote la used unalo lifahamu naweza kupata?
ameshauza hii kaka!Ukienda Dukani kuzunguka ngumu kupata, cheki online kina kupata, Jiji etc then uliza maduka yao pitia.
Mfano hii
Laptop HP Omen 15 16GB Nvidia SSD 512GB
Hp Omen Core i7 Core i7 Ram 16gb Ssd 512gb Nvidia Gtx 1060 Dedicated 6gb Full Hd 1080 Display Batter 6 hrs net Fifa Games installed Both 6 and 7th Generation Available. Very Powerful Machine!jiji.co.tz
Ina Gtx 1060 gpu nzuri tu, ana version 2 nzuri ni hio 1060, 1050 ya kawaida.
Ingia kupatana ama jiji search tu neno Nvidia zitakuja.ameshauza hii kaka!
mkuu naomba unitext PM ninashidaIngia kupatana ama jiji search tu neno Nvidia zitakuja.
Hakikisha tu Gpu za maana hizi za kina Mx150 hazina issue kwa hio budget
hiii kwa m1.5 ni Worth kaka?View attachment 2469808View attachment 2469809Ingia kupatana ama jiji search tu neno Nvidia zitakuja.
Hakikisha tu Gpu za maana hizi za kina Mx150 hazina issue kwa hio budget