Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

sleep issue ilikuwa solved na updates, ilikuwa toka 2015 sidhani kama bado ipo 2017.

jamaa anasema yake haizimi kabisa, unless sijamuelewa.
Hazimi kabisa ila power button kale kataa kanaendelea kuwaka na feni inafanya ila display inakuwa imezima
 
Mi laptop yangu hata celewi imeandikwa Intel (R) Pentium (R) CPU 2020m @2.4GHz 2.4GHz ni saidie hapo mzee
 
Mi laptop yangu hata celewi imeandikwa Intel (R) Pentium (R) CPU 2020m @2.4GHz 2.4GHz ni saidie hapo mzee
generation ya tatu, ni cpu nzuri mkuu mambo mengi inafanya.
 
Me nahitaji full set, en vp processor za amd zpo vizur?
inategemea kama ni zile APU sio mbaya sana utafanya mambo mengi, japo cpu ni ndogo ila zina gpu nzuri kuliko intel za kawaida.

ila.kama ni hizi fx achana nazo sababu hazina gpu kabisa, itabidi ununue gpu separate.

full set tafuta kwa 300,000 i5 unapata 3rd gen, then hio 50,000 tafuta monitor unapata used sema itakuwa ya kawaida zile za inch 17.
 
Kama kuna fundi wa Software yupo Mbeya nataka aniwekee windows 10 mpya kwenye laptop yangu ni screen touch na awe na Microsoft package 2016 isiyo na matatizo
 
First of all, Salut boss for the excellent clarification bro...... My Questions will follow soon......
 
Thanks
 
Naomba nifahamishe kuhusu hii kitu gpu mkuu maana sielewi inakuwaje na pia utaiangalia mf. Kwenye laptop utakayotaka kuinunua?
 
hamna kitu hapo mkuu, kwa kifupi cpu zote zinazoanziwa na N mwanzon zina core za Atom ambazo hazina nguvu kabisa. uzuri wake zinakula umeme kidogo watts 2 hadi 10 na zinakaa sana na charge ila perfomance yake ni ovyo
Mkuu hivi hizi core za Atom kifupi utazigundua kwenye processor zinazoanziwa na herufi gani na gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…