Muongozo wa Startimes televisions

GAMBLER

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2009
Posts
303
Reaction score
11
Habari wadau
natumia startimes tv ya flat, sasa kwa upande wa kulia juu, kwa siku hizi kunajitokeza
kisanduku cha barua ambacho kuna ujumbe nimetumiwa natakiwa kuusoma, nimejaribu kukifungua kutumia remote nimeshindwa, naomba muongozo wa
namna ya kuweza kukifungua kisanduku
 
Bonyeza kwenye remote yako sehemu ilo andikwa Email, then bofya hyo msg then unaisoma. Watakuwa wanakujulisha muda wako wa air time umekaribia kuisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…