Muosha huoshwa

Muosha huoshwa

Muosha anaekusudiwa kwenye msemo huo ni muosha maiti.

Lakini hata huyo muosha maiti naekuna siku atakufa na kuwa maiti na kulazimika kuoshwa kama alivyoosha wenziwe

Hivyo muosha nae ipo siku yake nae ataoshwa

Hivyo Waswahili huitumia nadharia hiyo kueleza kuwa ukijifanya mjanja kuna siku na wewe ujanja kama ule utakugeukia.
 
Back
Top Bottom