Muosha huoshwa

Joined
May 11, 2013
Posts
12
Reaction score
1
Mara nyingi methali hii imekuwa ikitumika lakini sijawahi kujua ina maana gani hasa. Naomba wataalamu muipambanue
 
Muosha anaekusudiwa kwenye msemo huo ni muosha maiti.

Lakini hata huyo muosha maiti naekuna siku atakufa na kuwa maiti na kulazimika kuoshwa kama alivyoosha wenziwe

Hivyo muosha nae ipo siku yake nae ataoshwa

Hivyo Waswahili huitumia nadharia hiyo kueleza kuwa ukijifanya mjanja kuna siku na wewe ujanja kama ule utakugeukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…