Yaaani Mchaga ana maneno huyu kushinda wazaramo!!! Jana nilibahatika kuangalia hii habari nikiwa na watani wangu wa "Matopeni", walibakia kucheka tu...Ha haaaaa Muro buana
Simpatii picha, ila na yeye yumo jamani!! Shughuli imepata wenyewe hii. Pwagu na Pwaguzi 😀manara huko aliko anatamani kulia
Hata Snura wa chura naye ni mchaga. Siku hizi vizazi vimechakachuana na kuna mkorogo wa ajabu, asili imepoteaYaaani Mchaga ana maneno huyu kushinda wazaramo!!! .
Ni kombe hili hili mnalotambia kuwa mlifika Fainali Afrika 1993, mlicheza mechi dhidi ya:Waliotolewa kwenye champions league wanakutana kwenye confederation cup. Kwa ufupi haya mashindano ni ya walioshindwa, yaani kombe la washindwa. Akina Zamalek, Al Ahly na ASEC wapo kule kwa wababe. Hili ni kama kombe alilochukua Sevilla (eti fainali Sevila vs Liverpool)!
Ha Ha Ha. Kweli aisee!! Vizazi vinakwenda sambamba na mabadiliko ya tabia nchi😉Hata Snura wa chura naye ni mchaga. Siku hizi vizazi vimechakachuana na kuna mkorogo wa ajabu, asili imepotea
Mkuu umenena "Ni heri ya shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua".Nashangaa wanaSimba wanamshangaa nini jamaa.Hivi Simba ingekua inafanya vizuri maneno ya kuudhi angetolea wapi?Na kama unakereka na maneno yake,kazi unayo mana kwa uongozi huu mbovu ataongea sana.Uongozi wa Simba siasa,maslahi binafsi,chuki n.k umetawala.Leo unamwacha Kiiza mwenye mabao 20 unaenda kumsajili mtu usiyemjua!!unategemea nini?kwa uongozi huu Simba haitakaa ifanye vizuri.
duh ngoja na masabwire arudi kutanoga si mchezo
Acha kabisaPembeni Tobias kifaru.
Ucpanic subiri dawa iingie kwenye damuKipofu kaona mwezi! Haya matusi si tabia ya timu kubwa ya Simba. Endeleeni kutukana maana mnaonja ladha ya fedha za CAF.