Murtaza Mangungu adai uwanja wa Jangwani ni mali ya Simba

Murtaza Mangungu adai uwanja wa Jangwani ni mali ya Simba

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682

Mwenyekiti wa Klabu ya Simba Sc Murtaza Mangungu anasema Uwanja ambao Wananchi Young Africans mnatamba nao sio mali yenu bali ni mali ya Mnyama Simba SC!

"Wenzetu Wamepewa Uwanja ni haki yao kama wakipewa na Serikali na sisi hatuwezi kulalamika ila na sisi tumeiandikia Serikali kuwakumbusha kwamba kwamba Eneo ambalo Serikali walitwaa eneo lile Eneo la uwanja wa Jangwani ni eneo la uwanja wetu wa mazoezi na ulikuwepo pale Jangwani wanatakiwa waturudishie maana hatujawahi kufidiwa"

Mwenyekiti wa Simba Sc Murtaza Mangungu akizungumza na EFM

PIA SOMA
- Salim Abdallah 'Try Again' ajiuzulu uenyekiti bodi ya wakurugenzi Simba

- Bodi ya Simba upande wa mashabiki wanataka kumtapeli Mo Simba yake

- Tetesi: - Simba imepasuka. Kuna Simba ya Try Again na Simba ya Mo, Kila upande unauroga upande mwingine

- Tetesi: - Simba inatarajia kumrejesha tena Barbara Gonzalez kwenye Bodi

- - Hivi lile sakata la baadhi ya mashabiki wa simba kumshinikiza Mwenyekiti wao Mangungu kujiuzulu, limefikia hatua gani mpaka sasa?
 
Acha uongo wewe s-t-u-p*i£#d ,kama hauelewi uliza uambie au upewe historia, Ni hivi timu zote simba na Yanga walipewa viwanja wote, so simba wqnaulizia kiwanja chao pale
 
Acha uongo wewe s-t-u-p*i£#d ,kama hauelewi uliza uambie au upewe historia, Ni hivi timu zote simba na Yanga walipewa viwanja wote, so simba wqnaulizia kiwanja chao pale
Uzuri kipaji chako ni upumbavu!
 
Back
Top Bottom