Musa Kwikima na Ujaji wa Mahakama Kuu kwa mara ya pili 1983

Musa Kwikima na Ujaji wa Mahakama Kuu kwa mara ya pili 1983

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
MUSA KWIKIMA NA UJAJI WA MAHAKAMA KUU KWA MARA YA PILI 1983

Marehemu Musa Kwikima aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu baada ya kutolewa kwenye nafasi hiyo na Mwalimu Julius Nyerere mwaka wa 1969.

Jaji Mkuu Nyalali alimfuata Tabora kwa mazungumzo na Kikwima akarudishwa kuwa jaji mwaka 1983.

Mwalimu Nyerere akamuapisha Kwikima kwa mara ya pili siku moja na majaji wengine wawili Jaji D'Souza na Jaji Kapoor.

Kwikima alishika nafasi hii kwa miaka miwili tu kisha akajiuzulu kwa hiari yake mwenyewe. Mara ya kwanza Mwalimu Nyerere alimwapisha Kwikima siku moja na Majaji Lewis Makame na Robert Kisanga katika miaka ya mwishoni 1960s.

Musa Kwikima alirudishiwa ujaji ili kusaidia kesi za uhujumu uchumi.

PICHA: Musa Kwikima alipoamishwa na Julius Nyerere kuwa Jaji mara ya kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MUSA KWIKIMA NA UJAJI WA MAHAKAMA KUU KWA MARA YA PILI 1983

Marehemu Musa Kwikima aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu baada ya kutolewa kwenye nafasi hiyo na Mwalimu Julius Nyerere mwaka wa 1969.

Jaji Mkuu Nyalali alimfuata Tabora kwa mazungumzo na Kikwima akarudishwa kuwa jaji mwaka 1983.

Mwalimu Nyerere akamuapisha Kwikima kwa mara ya pili siku moja na majaji wengine wawili Jaji D'Souza na Jaji Kapoor.

Kwikima alishika nafasi hii kwa miaka miwili tu kisha akajiuzulu kwa hiari yake mwenyewe. Mara ya kwanza Mwalimu Nyerere alimwapisha Kwikima siku moja na Majaji Lewis Makame na Robert Kisanga katika miaka ya mwishoni 1960s.

Musa Kwikima alirudishiwa ujaji ili kusaidia kesi za uhujumu uchumi.

PICHA: Musa Kwikima alipoamishwa na Julius Nyerere kuwa Jaji mara ya kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Picha hakuna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Impongo,
Screenshot_20200429-065451.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Musa Kwikwima namkumbuka kwa kesi mbili alizosimamia kama wakiri wa kujitegemea, mwaka 1992 alivyo watetea wale vijana wa Kiislamu waliovunja mabucha ya nyama za nguruwe pale Kisutu, mshtakiwa No 1 kwenye ile kesi alikua kijana mmoja anaitwa Rashidi Idd Athmani Njeja na wenzake pamoja na kesi nyingine ya kutengua ubunge wa bwana William Shija mwaka 1995, William Shija alikua waziri wa habari na utangazaji kabla ya uchaguzi huo wa kwanza wa vyama vingi, nilipenda alivyo mdhalilisha yule mama mkuu wa wilaya ya Sengerema, baadhi ya maneno yake mahakamani, "Mama Shija kama upo hapa leo, nitakusaidia kufumania..". RIP Musa Kwikwima.
 
MUSA KWIKIMA NA UJAJI WA MAHAKAMA KUU KWA MARA YA PILI 1983

Marehemu Musa Kwikima aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu baada ya kutolewa kwenye nafasi hiyo na Mwalimu Julius Nyerere mwaka wa 1969.

Jaji Mkuu Nyalali alimfuata Tabora kwa mazungumzo na Kikwima akarudishwa kuwa jaji mwaka 1983.

Mwalimu Nyerere akamuapisha Kwikima kwa mara ya pili siku moja na majaji wengine wawili Jaji D'Souza na Jaji Kapoor.

Kwikima alishika nafasi hii kwa miaka miwili tu kisha akajiuzulu kwa hiari yake mwenyewe. Mara ya kwanza Mwalimu Nyerere alimwapisha Kwikima siku moja na Majaji Lewis Makame na Robert Kisanga katika miaka ya mwishoni 1960s.

Musa Kwikima alirudishiwa ujaji ili kusaidia kesi za uhujumu uchumi.

PICHA: Musa Kwikima alipoamishwa na Julius Nyerere kuwa Jaji mara ya kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu maliza stori yote ya huyu jaji. Kuna mengi umeyaacha. Mimi ni mdogo nashindwa kuyadurusu yote. Ila miaka miwili iliyopita nilikutana na huyu jaji Kigoma, alipata kusimulia mengi sana hadi kufikia kujiuzulu nafasi yake. Kuna vitisho vingi alipata kwenye utawala wa mwalimu. Natamani maandishi yake ungeendeleza, japo najua utasemwa mdini. Maana jaji alihusisha sana uislamu wake na kuondolewa kwake ujaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu maliza stori yote ya huyu jaji. Kuna mengi umeyaacha. Mimi ni mdogo nashindwa kuyadurusu yote. Ila miaka miwili iliyopita nilikutana na huyu jaji Kigoma, alipata kusimulia mengi sana hadi kufikia kujiuzulu nafasi yake. Kuna vitisho vingi alipata kwenye utawala wa mwalimu. Natamani maandishi yake ungeendeleza, japo najua utasemwa mdini. Maana jaji alihusisha sana uislamu wake na kuondolewa kwake ujaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngali...
Hebu tafadhali nielezd hayo ambayo nimeyaacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom