Musalia Mudavadi most likely Kenya's next President?

Where does that leave Ruto? Sitaki kuamini kuwa Ruto ni mjinga kiasi kuwa kuungana kwake na Uhuru kunaweza kumfanya amwache Uhuru afanye maamuzi makubwa bila ya yeye kuwa na stake.
Kwa sarakasi za siasa za kenya, si ajabu, kesho na keshokutwa tukasikia Ruto amerudi kwa Tinga, na hapo hesabu itabidi zianze kupigwa upya kuhusu nani ana uwezekano wa kushinda
 
Kumbe hata Kenya wafanyabiashara wana nguvu za ku-influence mambo ya Siasa? Maana tumezoea hapa kuona wanawaweka akina Kikwete Madarakani
Wala isikutishe hiyo ya wafanyabiashara wakubwa kwa sababu kwa Kenya wengi wa wafanyabiashara wakubwa ni wanasiasa pia, akiwamo Uhuru mwenyewe
 
hapa hawa wafanyabiashara akiwemo uhuru mwenyewe ni tishio kwa usalama wa taifa la kenya hawawezi kujijengea himaya kulinda interest zao wao na washirika bila kuangalia maslahi ya kenya .huu ni mtego na wa onyesha kushindwa kabla wanahofu ya nini .hiyo coalition sawa la msingi hapa ni nani anatetea nini .biashara au taifa ....
 
Kile ambacho wafuasi wa uhuru ambao ndio wengi kenya wanaweza fanya ni kumpigia musalia kura, hapo watawazima kimya akina odinga na wafuasi wake na makelele yao ya ukabila. tena hiyo ndio kuanza kujenga demokrasia
 
[MENTION]
Mwita Maranya[/MENTION] Hakuna mapana yasiyokuwa na ncha...................na ncha za tinga sasa zimewadia..........
 
Kile ambacho wafuasi wa uhuru ambao ndio wengi kenya wanaweza fanya ni kumpigia musalia kura, hapo watawazima kimya akina odinga na wafuasi wake na makelele yao ya ukabila. tena hiyo ndio kuanza kujenga demokrasia

Kabaridi Raila kachanganyikiwa kabisa.........................hii move hakuitegemea
 
Last edited by a moderator:
Sir R makampuni yote ya polls nchini Kenya yamesema Raisi atatoka katika muungano unaoongozwa na Uhuru.........................wao wanasema.....revenge is sweet.............
Rutashubanyuma unawaamini pollsters of Africa kama Synovate na wale wa UDSM/Dr. Bana??

Unasemaje kuhusu muungano wa Raila na Kalonzo (kumb. Kalonzo alikuwa kwa Uhuru/Ruto a month ago)....Dont underestimate the Luo boy, na safari hii hamna kuchakachua kura.

Raila ni nyani mzee kakwepa mishale a hundred fold
 
Hivi Uhuru Kenyata si anakesi yakujibu The Hague?

Ndallo uko sahihi bali sheria za uchaguzi za Kenya zinazuia kumchukulia mtuhumiwa hatua yoyote ile hata kama amepatikana na hatia hadi pale mianya yote ya rufaa imekwisha.....................kwahiyo yuko huria...............kugombea pamoja na kuwa mtuhumia hague
 
Last edited by a moderator:

SYnovate(K) ni tofauti na Synovate(T).........kule watu wanaheshimu maadili ya kazi zao.............utamu ni kuwa march 4th haiko mbali
 
@
hugo chavez waswahili husema mwenye nguvu mpishe au.................
 
Na kuna maeneo mengi mengine ambako anaweza kupata kura za kutosha, mathalani Pwani

Mpita Njia fuatilia hili zoezi la kujiandikisha kupiga kura maeneo ya Mandera, pwani, North East, utagundua ni sehemu ya ngome ya Tinga...........tatizo hawajajiandikisha.............na wako wachache sana................pwani wanataka chama chao cha mrc.............na hawataki bara..
 
Last edited by a moderator:

Mpita Njia Ruto nafasi ya mgombea mwewnza haina ubishi...................he is happy with that proposition......
 
Last edited by a moderator:
Siasa za Kenya ni za ajabu sana. Ukabila na Ujanja ndio vinaamua mshindi katika uchaguzi!!

Bora hata siasa Zetu za Bongo kidogo afadhali.
 
Uhuru na Mudavadi ni Project ya Kibaki au wenyewe wanasema State House Project. Hivyo KIbaki hataki kabisa Raila ashinde sasa sijui kwa nini kamgeuka Kalonzo.
 
 
Last edited by a moderator:

Si vema JF senior expert member kugrab headline kutoka kwenye gazeti Ukaigeuza kama wewe ndio source na kufanyia conclusions!! ni ukanjajanja mtupu to say the least!!

Habari yenyewe ni speculative kutoka vyanzo mbali mbali, mimi niko Nairobery leo hii na habari hiyo haina uhakika wowote; bado wako katika hatua ya kujitathmini baada ya kauli za Koffi annan na Ben mkapa hapa last week kwamba kina Uhuru na Ruto sio credible candidates kutokana na kesi iliyopo The HAGUE.

PLZ DO NOT MISLEAD WENZIO AMBAO HAWANA VYANZO VYA HABARI MBADALA.

Expert members of JF have an implicit obligation to members of the forum and the nation at large to disseminate factual information and not to engage in rumour mongering and sensationalisation.
 
Jana kwenye Citizen TV Mutahi Nguni(?)amesema tusijedanganye chaguzi kote duniani zinaendeshwa kwenye vyumba vya wafanyabiashara ambao ndio huamua kuwa raisi awe nani kwa ajili ya manufaa yao,mimi nilshaona toka mwanzo kuwa Mudavadi ni state house project na Mt Kenya mafia ndio wanaona atawalindia interest zao baada ya kuona Uhuru anaelekea kuwa mkazi wa The Hague,huyo Ruto hata angekuwa hana kesi asingeachiwa na Uhuru ,urafiki wao ni kutokana kuwa na kesi inayowakabili lakini si Uhuru wala Wakikuyu wenzake wangekubali Ruto awe raisi wao.Mudavadi sasa atakuwa anaendeshwa kwa remote control na Uhuru na Wakikuyu wenzake.Uhuru kamudanganya Ruto,sasa Ruto anabaki hana kitu kwani hataweza kum control Mudavadi.Hongera Moi kwa kuifanya KANU itwale miaka mingine zaidi,nina hakika Tinga tayari kesha chinjiwa baharini.Na tuombe mungu atupe uhai tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…