Kwa wale wanaotaka kufanya mitihani ya Bodi Nov 2012 .Mafunzo yamesha anza kwa module E&F katika kituo cha Apt Financial Consultant Kwa mkoa wa Dar es salaam na Arusha.
Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu wanaohitaji huduma hiyo wanaweza kuwasiliana kwa simu 0754 224224,0655 224224, 0785 224224 .
Tunapenda kuwashauri kuwa ni bora kufanya mtihani Mwaka huu kwani zipo taarifa kuwa huenda kukawa na mabadiliko mwakani.
Tunakutakia Maandalizi mema!!
Mitihani ya Bodi maana yake ni nini. Si wote wamesoma huko ulikosoma wewe. Kuna bodi nyingi eg: Bodi ya pamba, kahawa, etc. Now, mitihani ya bodi - what do you mean sir/madam?
Mitihani ya Bodi maana yake ni nini. Si wote wamesoma huko ulikosoma wewe. Kuna bodi nyingi eg: Bodi ya pamba, kahawa, etc. Now, mitihani ya bodi - what do you mean sir/madam?