Hapo ndo panakuwa pagumu kwa ma presid wetu wa kiswahili kuachia ngazi...akifikia mwisho wa muda wake atarekebisha tu Katiba au kuingia kwenye jeshi la waasi ili aendelee kula "masengweji" vichakani !!!!, kwa hali hii mwavuli atapata wapi mtaani ????.......Hawa ndo viongozi wetu wanao simama majukwani na kuhamasisha "USAWA" na "UPENDO", shit, unafiki mtupu!......
Hata kama kuna mvua, hako kajamaa kalikoshika mwamvuli hakaloi, au sio kabinadamu hako au ndo mafungu ya kufanya "siteti hausi" yanakamaliza hisia za kibinadamu, hata hakasikii maumivu ambayo Mukubwa anayakwepa,duh???.Aka ka nidhamu ka "steti housi" hakana tofauti kabisha na kale ka utumwa enzi za kina sultan Sayyid Barghash bin Said Al-Busaid kule Mkunazini ina kila aina ya kukiuka haki za binadamu!......Loh!!!.