Museveni aagiza serikali kuajiri wataalam wa sayansi

Museveni aagiza serikali kuajiri wataalam wa sayansi

Kyodowe

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2013
Posts
1,236
Reaction score
1,368
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Raisi M7 amekataa kuteua mkuu wa idara ya taifa ya mipango na kuagiza kuajiriwa kwa wataalamu wa fani za sayansi katika wizara na idara zake ili kuweza kuchochea ukuaji wa uchumi wa viwanda.

Katika kuliweka hilo sawa M7 alisema 'Anawezaje mchumi kuandaa mpango kama hajasoma sayansi' alisisitiza m7. Mytake: 'Sijui kama nimemwelewa m7 sawasawa, lakini anawezaje mtu aliyesoma physics kwa mfano, kuandaa mpango wa maendeleo kama hana uelewa wa fani ya uchumi?

Only employ scientists for planning jobs, Uganda's Museveni
 
yajayo yanafurahisha sana............................................................................
 
Hata kama umebobea katika physics ni lazima uive kisiasa ili upenyeze elimu yako vizuri . Katika Afrika ambae hajaenda shule na ni mwanasiasa anamzima mwanasayansi
 
Naona mliosoma arts mnatoka povu.. DUNIA ya Sasa hivi inaliwa na wanasayansi.yuko sawa
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Raisi M7 amekataa kuteua mkuu wa idara ya taifa ya mipango na kuagiza kuajiriwa kwa wataalamu wa fani za sayansi katika wizara na idara zake ili kuweza kuchochea ukuaji wa uchumi wa viwanda.

Katika kuliweka hilo sawa M7 alisema 'Anawezaje mchumi kuandaa mpango kama hajasoma sayansi' alisisitiza m7. Mytake: 'Sijui kama nimemwelewa m7 sawasawa, lakini anawezaje mtu aliyesoma physics kwa mfano, kuandaa mpango wa maendeleo kama hana uelewa wa fani ya uchumi?

Only employ scientists for planning jobs, Uganda's Museveni
Dalili za uchovu wa mwili na akili. Kwa nini asiende kuchunga ng'ombe wake na kumalizia siku zake kwa amani?
 
Back
Top Bottom