Rais Museveni amekataliwa na chama chake NRM kubadilisha katiba ili serikali iwe na mamlaka ya kunyakua ardhi toka kwa watu kimabavu.
Wabunge wa CCM jifunze kutoka kwa hawa wenzenu.. maana mnashabihiana
Rais Museveni amekataliwa na chama chake NRM kubadilisha katiba ili serikali iwe na mamlaka ya kunyakua ardhi toka kwa watu kimabavu.
Wabunge wa CCM jifunze kutoka kwa hawa wenzenu.. maana mnashabihiana
Nasikia harufu ya ukweli kwa mbaaali hapaUkiona wamempinga basi ujue wanachama wa chama chake wengi ndio wamiliki wa ardhi hivyo wanajua hiyo sheria itawaumiza wao pia.