Museveni akubali kukaa meza moja na wapinzani

Kufuatia mbinyo mkali wa wapinzani mataifa makubwa nchini uganda kumemfanya rais Museni kukubali kukaa meza moja na wapinzani kuamua jinsi ya kuitawala Uganda.
kota pini, kota pini, kota pini.
 
' hadi leo hii siijui, sababu ya mtu kukopa hela ya mtu na tabasamu la bashasha ila wkt wa kurudisha anageuka mbogo kumzidi hadi aliyemsaidia'
Daw yake na wewe wakati wa kumdai, unaanza kumdai kwa kuchekeana. Akizingua unambadilikia mpaka anashangaa. Mimi ukinikopa ni lazima ulipe. Sinaga msalie Mtume.
 
Haamini kama watu wanaweza kumchana au?
 
Museveni na Kagame lazima waondoke ili eneo la Africa mashariki na kati, kupata amani na utulivu wa kudumu hao wawili ndo "centre of conflicts" in the region.......agenda kuu kwenye kikao chochote iwe lini wananyatuka.
umemsahau mwenzie mmoja i mean wawili
 
ata idd amin alikuwa na mtoto aliyepata mafunzo cuba na israel lkn now ni mwalimu wa GYM bulgaria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…