Museveni amshambulia vikali Rais wa Marekani

Museveni amshambulia vikali Rais wa Marekani

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363


Rais Yoweri Museveni wa Uganda ametoa matamshi makali dhidi ya Rais Barack Obama wa Marekani akimtaka akome kungilia masuala ya ndani ya Uganda.

Matamshi hayo makali yamekuja baada ya Rais wa Marekani kutishia kuwa uhusiano wa nchi yake

na Uganda utaharibika iwapo Rais Museveni atasaini na kuufanya kuwa sheria muswada wa

kupinga vitendo vichafu vya kujamiiana watu wa jinsia moja.


Rais Museveni amesema, atashirikiana na Russia iwapo Marekani itaendelea kuingilia masuala ya

ndani ya Uganda na kuongeza kama ninavyomnukuu:


"Russia imekuwa ikifanya shughuli zake barani Afrika tangu mwaka 1917 yaani kwa zaidi ya miaka

100. Ninataka kushirikiana na Russia kwa sababu hawachanganyi siasa zao na siasa za nchi

nyingine." Mwisho wa kunukuu.


Ameongeza kuwa: "Ukiona mtu anaingia ndani ya nyumba ya mtu mwingine basi jua kuna tatizo.

Hapa ni nyumbani petu. Huwezi kumuona mtu mwenye upaa kama mimi hivi ndani ya nyumba yake

na kuanza kumpangia afanye unavyotaka wewe. Rudi kwenu!" Mwisho wa kunukuu.

CHANZO.
http://kiswahili.irib.ir/habari/habari/item/38388-museveni-amtolea-uvivu-obama,-amwambia-akome

Rais Museveni Amkomalia kichwa Rais Obama Kasheshe kweli jamani.

 
lakini tuseme ukweli, ubabe wa marekani na wamagaribi umezidi, hata sisi watz bora tugeukie mataifa ya china, japan na hata urusi kuliko kuendeshwa na kina obama.
 


Rais Yoweri Museveni wa Uganda ametoa matamshi makali dhidi ya Rais Barack Obama wa Marekani akimtaka akome kungilia masuala ya ndani ya Uganda.

Matamshi hayo makali yamekuja baada ya Rais wa Marekani kutishia kuwa uhusiano wa nchi yake

na Uganda utaharibika iwapo Rais Museveni atasaini na kuufanya kuwa sheria muswada wa

kupinga vitendo vichafu vya kujamiiana watu wa jinsia moja.


Rais Museveni amesema, atashirikiana na Russia iwapo Marekani itaendelea kuingilia masuala ya

ndani ya Uganda na kuongeza kama ninavyomnukuu:


"Russia imekuwa ikifanya shughuli zake barani Afrika tangu mwaka 1917 yaani kwa zaidi ya miaka

100. Ninataka kushirikiana na Russia kwa sababu hawachanganyi siasa zao na siasa za nchi

nyingine." Mwisho wa kunukuu.


Ameongeza kuwa: "Ukiona mtu anaingia ndani ya nyumba ya mtu mwingine basi jua kuna tatizo.

Hapa ni nyumbani petu. Huwezi kumuona mtu mwenye upaa kama mimi hivi ndani ya nyumba yake

na kuanza kumpangia afanye unavyotaka wewe. Rudi kwenu!" Mwisho wa kunukuu.

CHANZO.
http://kiswahili.irib.ir/habari/habari/item/38388-museveni-amtolea-uvivu-obama,-amwambia-akome

Rais Museveni Amkomalia kichwa Rais Obama Kasheshe kweli jamani.



Asijibu kwenye magazeti: Angesema kuanzia leo nchi yake haihitaji msaada wa yeyote kwenye bajeti support ingekuwa jibu zuri zaidi kuliko hizo political rhetorics!
 
Back
Top Bottom