Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Biblia inasisitiza kila mara kwamba ushoga ni dhambi (mwanzo 19:1-13; mambo ya walawi 18: 22; warumi 1:26-27; wakorintho wa kwanza 6:9). Warumi 1:26-27 inatufundisha ya kwamba ushoga ni njia mojawapo ya kumkana na kutomtii Mungu. Mtu anapodumu katika dhambi na kutokuamini biblia inatuambia ya kwamba Mungu huwaachilia kutenda maovu zaidi ili wapate kujua ubatili wa maisha bila Uwepo wa Mungu. Wakorintho wa kwanza 6:9 inasema kuwa mashoga hawataurithi ufalme wa Mungu.Tuongelee habari za Nchi yako kuhusu migogoro ya wafugaji na wakulima mashoga Dar ndo usiseme umewasaidia nini??
Big up museveni,haki Sawa kwa wote.MUSWADA WA USHOGA: Rais wa Uganda, Y. Museveni akataa kuusaini uwe sheria, wahanga wangefungwa maisha. Aliambia bunge, suluhisho ni maendeleo viwanda na kilimo.
mcl
Big up museveni,haki Sawa kwa wote.
Big up museveni,haki Sawa kwa wote.
.... suluhisho ni maendeleo viwanda na kilimo....
Big up museveni,haki Sawa kwa wote.
hivi unaelewa maana ya kukataa kusaini muswada? kiufupi Museveni amewaokoa mashoga kufungwa maisha maana kama angesaini muswada maana yake ungekuwa sheria na baada ya hapo kila shoga angeshikatiwa na kufungwa maishaMUSWADA WA USHOGA: Rais wa Uganda, Y. Museveni akataa kuusaini uwe sheria, wahanga wangefungwa maisha. Aliambia bunge, suluhisho ni maendeleo viwanda na kilimo.
mcl
Acha matusi bwana,mie mengi nayajua ila wewe mtemi utaanzisha( ) michezo yenu kutoboa pua bora ninyamaze usinipige mbata....mchele mchele?
Acha matusi bwana,mie mengi nayajua ila wewe mtemi utaanzisha( ) michezo yenu kutoboa pua bora ninyamaze usinipige mbata....