#COVID19 Museveni atangaza tena maombi, kufuatia wimbi la Corona Uganda

#COVID19 Museveni atangaza tena maombi, kufuatia wimbi la Corona Uganda

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Museveni


Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametanga siku ya mapumziko leo Ijumaa kwa ajili ya kuwaombea wahudumu wa afya pamoja na familia zilizoathiriwa na virusi vya corona.

Nchi hiyo ya Afrika Mashariki inakabiliwa na wimbi la pili la virusivya corona, jambo lililomsukuma raiskuweka amri ya kutotemebea na kufungwa kwa shughuli’’lickdown’’ mapema mwezi huu.

Bunge la Uganda limefngwa kwa muda kwa wiki mbilihuku maafisa wakisema watu 100 katika bunge hilo walipatakana na maambukizi ya virusi hivyo.

Idadi ya vifo vilivyothibitishwa imeongezeka mara 10 katika kipindi cha siku 14 katika kulingana na wavuti wa Our Word in Data,
Chini ya 2% ya watu ndio waliopokea walau dozi moja ya chanjo ya virusi vya corona.

Wakati haya yakijiri , Uingereza imeiongeza Uganda katika orodha yake ya nchi ambazo raia wake wamezuiwa kusafiri kwenda nchini Ungereza.

Ofisi ya mambo ya kigeni na Jumuiya ya Madola (FCO) imesema kuwa kuanzia Juni30, "Uganda itahamia kwenye orodha nyekundu ya kuingia England ".
 
Tuendelee kuchukua tahadhari,naona bado hapa nyumbani hatuko serious.
 
Hivi hapo Bongo utaratibu wa kusafiri nje ukoje make naona kila kitu kiiiimya km nini!!! mnazisema nchi nyingine tu!! ajabu nasikia Zali wa Diamond alikuja huko hivi karibuni je ni kweli? alipita pitaje!! na akarudi salama? Hapo JNIA kuna ile Midege mikubwa km

British air way, Lufthasa, Gulf stream nk, bado mnaiona inakatiza kwa anga za hapo kipawa au ndo ntolee? haziji? itakuwaje sasa km hali ni hivo ndo hatuji kuhani huko au?

Mwenye kujua hili humu JF tafadhali sema kitu! Aau aliye safiri hivi karibuni kwenda Bongo land! atwambie hali ikoje wajameni!! kuna tetesi wabongo hawafi ajili ya nguna ya Muhogo na Mahemba, hasa kanda ya ziwa ni kweli?
 
Back
Top Bottom