Museveni atua dar ndani ya kenya airways huku kavalia bullet proof vest!

ukiicheki hii picha kwa umakini utaiona hio bullet proof vest
 
Hiyo kila Rais anavaa, hata wa kwetu anatupia sana tu.
 
Bara la amani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hujaona makubaliano yaliyosainiwa? Kuna dry land internal port inajengwa Mwanza na kuunganishwa na central railway kwa ajili ya mizigo ya Uganda na ndege sita za mizigo zitanunuliwa kwa ajili ya ATCL!
 
Umeshangaa lipi
au umeishiwa cha kupost!!
Shikamoo mrundi weye, bado unaomba uraia hapo tz, siku immigration watakuibukia mkimbizi ww lazma utanyea ndoo tu[emoji3] [emoji3] [emoji90]
 
Shikamoo mrundi weye, bado unaomba uraia hapo tz, siku immigration watakuibukia mkimbizi ww lazma utanyea ndoo tu[emoji3] [emoji3] [emoji90]
Pole sana!!
Kipi kimekushangaza!!?
Umokosa cha kupost!!
 
Pole sana!!
Kipi kimekushangaza!!?
Umokosa cha kupost!!
"Umokosa" ndio nn?
Samahani lakini tunaelewa mada kama hizi huna uwezo na upeo wa kuzidadavua, hivyo tunakuomba ukae tu pembeni usubiri zile za alshabab ambazo utafurahikia zaidi, ni hayo tu kwa leo, jioni njema.
 
Nasikia dar es salaam kuna joto vipi hiyo mikoti yao ina viyoyozi?
 
Halafu katua kwa kutumia KQ, hawa watu hata tukiwaambia hawaskilizi, Kenya ndio baba yao.
Duh jinsi Dar huwa na joto la kufa mtu, jamaa amevaa bullet proof na koti lote hilo.... Lazima alivumilia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…