Museveni aungana na sekta binafsi kuujenga uchumi wa nchi yake.

Museveni aungana na sekta binafsi kuujenga uchumi wa nchi yake.

Mnasihi

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2013
Posts
7,762
Reaction score
7,100
Uganda imeadhimisha siku ya uhuru wake leo na rais wa nchi hiyo Museveni alikagua kikosi cha jeshi na kuwahutubia wananchi wake.

Ni katika hotuba hiyo ndipo alipotangaza serikali ya nchi yake kuacha kufanya biashara na kuacha shughuli hizo kufanywa na sekta binafsi.

Ni jambo la heri kwa sekta binafsi kuula kinyume na huko nyumbani Tanzania ambapo serikali imekumbatia kila kitu na kuiacha sekta binafsi ikiwa hoi.

Kigezo kinachotumika kuiminya sekta binafsi ni rushwa na ufisadi huku kukiwa na vyombo lukuki vya dola kwa ajili ya kushughulika na rushwa

Hongera Museveni kwa kuona mbali na kuamua kuwashirikisha waganda wote katika kuujenga uchumi wa Uganda kwani uchumi wa nchi haujengwi na serikali bali raia ambao wengi wameajiriwa na kujiajiri kwenye sekta binafsi.
 
Uganda imeadhimisha siku ya uhuru wake leo na rais wa nchi hiyo Museveni alikagua kikosi cha jeshi na kuwahutubia wananchi wake.
Ni katika hotuba hiyo ndipo alipotangaza serikali ya nchi yake kuacha kufanya biashara na kuacha shughuli hizo kufanywa na sekta binafsi.
Ni jambo la heri kwa sekta binafsi kuula kinyume na huko nyumbani Tanzania ambapo serikali imekumbatia kila kitu na kuiacha sekta binafsi ikiwa hoi. Kigezo kinachotumika kuiminya sekta binafsi ni rushw na ufisadi huku kukiwa na vyombo lukuki vya dola kwa ajili ya kushughulika na rushwa
Hongera Museveni kwa kuona mbali na kuamua kuwashirikisha waganda wote katika kuujenga uchumi wa Uganda kwani uchumi wa nchi haujengwi na serikali bali raia ambao wengi wameajiriwa na kujiajiri kwenye sekta binafsi.
Haya mambo yalishaandikwa kwenye Journals na Le profeseli lipumba lakini sasa ameyakana maandishi hata mseveni amekana katiba ,Hizo ndizo siasa utapoteza muda tafuta pesa
 
Baada ya kuona amevuruga uchumi was nchi, sasa ameamua kuanza alipojikwaa na kuanguka

Ni vyema. Lakini ajue akili take imechoka kuwa raid was nchi hivyo aepuke aibu iliyowakuta wakina Yahya Jame na Mugabe
 
Uganda imeadhimisha siku ya uhuru wake leo na rais wa nchi hiyo Museveni alikagua kikosi cha jeshi na kuwahutubia wananchi wake.

Ni katika hotuba hiyo ndipo alipotangaza serikali ya nchi yake kuacha kufanya biashara na kuacha shughuli hizo kufanywa na sekta binafsi.

Ni jambo la heri kwa sekta binafsi kuula kinyume na huko nyumbani Tanzania ambapo serikali imekumbatia kila kitu na kuiacha sekta binafsi ikiwa hoi.

Kigezo kinachotumika kuiminya sekta binafsi ni rushwa na ufisadi huku kukiwa na vyombo lukuki vya dola kwa ajili ya kushughulika na rushwa

Hongera Museveni kwa kuona mbali na kuamua kuwashirikisha waganda wote katika kuujenga uchumi wa Uganda kwani uchumi wa nchi haujengwi na serikali bali raia ambao wengi wameajiriwa na kujiajiri kwenye sekta binafsi.
Hongera sana my President
 
Back
Top Bottom