Kweli.mkuu kushindana na mataifa yenye nguvu za Uchumi kwa kuwa na kiburi ni shida.sawasawa na kupiga ngumi ukuta.Nyerere bila kung'atuka tungefilisika.alivyoodoka ikaja trade liberization policy ambazo ilikuwa kinyume na imani ya Ujamaa aliouasisi.Aisee, wangejua conspiracy inayoongoza dunia wasingekubali kuwa na akili za namna hiyo, Kosa kubwa alilofanya Nyerere, kiburi, jeuri, self gratification, almanusura tuwe failed state, wajifunze kwa Mandela, smart and ready to compromise for his people
Mugabe, Museven, Ni madikteta wa karne ya 21, ingeshangaza kama wangesifia ICC, waoga ndio zao
Angalao Tanzania hatupo kwenye Hilo tops la kuamuliwa Maisha yetu miaka 30 na ushehe na mtu mmoja na familia yake....
Kuna baadhi ya Marais wetu wa nchi za kiafrika wakikaa sana madarakani wanakosa uoga dhidi ya ukoloni mamboleo wa Wazungu.wanawapiga kwa maneno magumu laivu bila chenga mfano Mugabe/Nyerere/kaunda/Mandela/ Gadafi/Museveni.
Nilimsikia akiongea maneno hayo siku akiapishwa.Pia alimwalika Rais Bashir anayesakwa na The Huage (ICC) Wazungu toka EU waliondoka bila kuaga.ni Vema kwa viongozi waliomadarakani wawape wazungu makavu laivu lakini watende haki katika nchi wanazoziongoza.
Mungu ibariki Afrika
kwa namna alivyodumu madarakani kwa udikteta lazima awe mtuhumiwa mtarajiwa.Trump alisema itakuwa kazi yake ya kwanza ni kuwanyoosha Mugabe&MuseveniMuseveni anajaribu kuwaponda ICC kwa sababu anajua yeye pia anaweza kuwa na shauri la kujibu pale ICC.
ok sawa mkuu hapo nimekuelewa..nimeongelea uwezo wao wa kuwakabiri wazungu bila kupepesa macho wala woga