MUSEVENI: Uganda territory extends up to Nakuru, Mzee Kenyatta grabbed our land

Vita so maneno ha ha ha hamtaamini
 
British citizen have more weapon,nyie mna machete na marungu tu,bado mmetawaliwa nyangau nyinyi.this era you still thinking about mau mau,hao wasomali tu hapo wanawatoa jasho,si tuko na wasomali hapa na wako kabla hata ya kuanza vita ya wenyewe kwa wenyewe centuries,
wanaishi kwa amani tu.
 
Ni wakati sasa wa Uganda kutumia SU 30 walizozinunua. Yaani wakenya watagongwa vibaya sana.
 
Ramani huwa zinaonyesha mpaka kati ya Malawi na Msumbiji huwa pasu, lakini kwenu upo kwenye fukwe.
Kila uchaguzi ukikaribia, wagombea uraisi wa Malawi wanaanzisha agenda ya ziwa ili kupata kura za ulaghai. Its only a crazy person who can comply with such a stupid argument.
Does it mean that Tanzanians who are dwelling along the coastal areas of lake Nyasa should now start asking permission to Malawians administration for swimming, fishing and sailing.
African leaders can never stand for truth except the President of the united republic of Tanzania, Hon. John Pombe Magufuli.
 
Hata kenya wanasema Mlima Kilimanjaro ni wao

kwani uwongo, huo mkoa wote wa Kilimanjaro vya kwetu, na ndio maana unaona watu wenye asili ya pale ndio nguzo la uchumi Tanzania, ndio wamebeba uchumi wenu maana wana vinasaba vyetu.
 
kwani uwongo, huo mkoa wote wa Kilimanjaro vya kwetu, na ndio maana unaona watu wenye asili ya pale ndio nguzo la uchumi Tanzania, ndio wamebeba uchumi wenu maana wana vinasaba vyetu.

haaaaaaaa haaaaaaaa ngoja sasa mseveni adai ardhi yake ndo mtaelewa paka kwa jina lingine ni nyau
 
kwani uwongo, huo mkoa wote wa Kilimanjaro vya kwetu, na ndio maana unaona watu wenye asili ya pale ndio nguzo la uchumi Tanzania, ndio wamebeba uchumi wenu maana wana vinasaba vyetu.
Kwikwikwikwi. Hebu uliza tofauti na Dar mji unaofuata kwa uchumi ni mji gani!!? Kilimanjaro sijui kama ipo hata kwenye top 10.
Sikia wewe mvivu
1. Mwaza
2. Mbeya
3. Tanga
4. Mtwara
5. Morogoro
6. Shinyanga
7. Pwani
Tafuta statistic uone.
Kama mnaubavu jaribuni kuchukua hata mita moja tu ya TZ tuna waharibu kwa sekunde kumi. Sisi hatutanii.
M7 ni muda wa kutumia ndege zake kuwaangamiza Nyang'au. Namuomba M7 azijaribishie kwa Uhuru kidogo.
 
haaaaaaaa haaaaaaaa ngoja sasa mseveni adai ardhi yake ndo mtaelewa paka kwa jina lingine ni nyau

Museveni asikutie wasiwasi maana ni shemeji zetu wale, tumeoana sana kiasi kwamba itakua mwiko hata kunyoosheana vidole.
Kuna kijiwe fulani kinaitwa Migingo, hupenda kutubeep sana pale na hushangaa mbona hatumpigii, ila gumzo la kutaka ardhi yetu naomba iishie tu kuwa soga za mjini au maneno ya kwenye kanga, maana siku atachanganya madawa atajua kwanini Entebbe raid ilichukua dakika 90.
 
this shows how other countries wana wivu na wakenya...tanzania includedπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰ngoja uone povu
Sio wivu na wakenya....hatuwaamini
 
kwani nyie ndo mlishambulia kwa dakika 90? na Al-shabaab mmechukua dakika ngapi?
 
Kwikwikwikwikwi. Wasomali wanawatoa jasho na wanatumia mikuki mtu mwenye Su 30 mtamuweza!1?
Hili dude rada zenu hazilioni. Sisi TZ tupo na Ground Defence kubwa sana lakini Kenya ni videge vya zamaniii.

Dude hili hapa la Uganda
 
kwani nyie ndo mlishambulia kwa dakika 90? na Al-shabaab mmechukua dakika ngapi?

Nimesema ataelewa sababu za Entebbe raid kuchukua dakika 90, tutampa hilo somo, darasa la bure bila gharama.
Usilete vya Alshabaab humu maana wale ni magaidi wanaojificha ndani ya raia, na kuvizia vizia wakitokea uraiani.
Dunia yote magaidi wanapigwa na kusanyiko la mataifa kama Urusi, Marekani na kadhalika, pale hata Mrusi alirusha kombora la ICBM lakini magaidi yenyewe kama mazombi sugu vile, maana kadiri unawaua wanaongezeka.

Magaidi wa kidini huwa ni mziki tofauti, na usije ukajichanganya na kudhania ni wale watoto wa M23 pale DRC, wale walikua wanachuma madini na ni wezi tu, hivyo waliogopa kufa na hawakupigana hadi wa mwisho. Lakini likija suala la hawa mashababi aljemuhidin bin shetwan wanakua wameaminishwa akifa anapata mabinti 72 na pombe isiyoisha, hivyo wakati wanavamia wanaingia kwa kujilipua lipua, ikitokea hamjajipanga vizuri mtapoteana aisei.

Nyie hapo Dar kuna vitoto huwa vinajiita panya road, ipo siku vilisababisha mkimbie mji wote. Sasa wakija hao mashababi aljemuhidin bin shetwan kumi tu mtaihama nchi na kuwa wakimbizi.
 
Idd Amin alijaribu akashindwa. Na yaonekana wewe huipendi Kenyaq kabisa. Wakenya walikufanyia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…